La Ultima Letra - (Tahadhari: Picha zilizomo zinaogofya)

Ngoja nihifadhi kaburi kabla simu ijazima
 
Mkuu nimepitia hizi story ni kali mnoo.. Natafta nyingine zaid.. Kapata kati Uzi upii kaka ??
 
Vita ya mihadarati inakua sio mchezo aisee hua nashangaa bwana Makonda enzi hizo kulichukulia Hilo swala kisiasa nikajua huyu jamaa hawajui Hawa drug dealers Ili upambane nao inahitaji akili kubwa,Nguvu na weredi Hivi Hivi utajikuta unacheza mziki wao maana Kwa mbinu Hao jamaa hawajambo utaishia kamata vidagaa Hawa mateja wa mitaani ila kumpata kigogo wao ni shuhuri nzito utajikuta chain imeangukia Kwa mkuu wako wa Kazi Tena ana nafasi nzito serikalini
Utanywea tu na kufunga mdomo na mbwembwe kukuisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…