Kwa kuwa ulikaririshwa Waislam ndiyo wanaua watu? acha kudhihaki imaan za watu pasipo umuhimu wowoteHawa Waislamu wa siasa wameingiaje Mexico? Bila shaka wanaelekea Marekani.mauaji
wanatuchosha tunaotumia simu hawajui tu, The Bold shukrani.Unaquote story nzima!!
Sitaki kukutukana!
Kabisa.. wajamaa washaanza kujipenyeza kwenye mitaa ya Marekani..Nimegundua ndyo maana d.t anajenga ukuta
Namalizia Mkuu, kuwa na subira kidogo..pale unapongoja mpaka tumbo linauma....mkuu njoo umalizie huo mzigo.
Sawa Mkuu..Na mimi pia
Shukrani Mkuu..wanatuchosha tunaotumia simu hawajui tu, The Bold shukrani.
Hahahahah!! tayari mkuu nimekuongeza kwenye taglistmkubwa wangu the bold and the handsome na mimi unitag napendaga haya ma mission possible and impossible
Shukrani Mkuu..Mkuu bold
Salute
Inakuja..Waiting next episode..
Saa ngapi mkuu tukae kitako kusubiriaInakuja..
Kwa tafsiri ya sasa hao si magaidi..ni wahalifu. Ila wanaojiita waislam wakifanya hvo nadhan ndo huitwa magaidiMAGAIDI YATHIBITIWE KWA NGUVU ZOTE.HATA KAMA NI KUYAZIKA YAKIWA HAI.!!
Tayari Mkuu nimekuongeza kwenye taglist..Tag me please
Tayari Mkuu nimekuadd kwenye taglist..UNITAG JAMA
Inashangaza kwanini marekani hawatumii drones kudhibiti unyama huu uliopo "nyumba ya pili" kutoka kwao lakini wanarusha drones maelfu ya makilometa kwenda mashariki ya kati kudhibiti "magaidi" ya kiarabu..Kwa tafsiri ya sasa hao si magaidi..ni wahalifu. Ila wanaojiita waislam wakifanya hvo nadhan ndo huitwa magaidi