La Ultima Letra - (Tahadhari: Picha zilizomo zinaogofya)

Mkuu bold uwe unanitag uletapo habari mpya....... Ila kwa ishu ya ujenzi wa ukuta namuunga mkono Trump afanye haraka maana hawa jamaa hawana maana kabisa..
 
Inashangaza kwanini marekani hawatumii drones kudhibiti unyama huu uliopo "nyumba ya pili" kutoka kwao lakini wanarusha drones maelfu ya makilometa kwenda mashariki ya kati kudhibiti "magaidi" ya kiarabu..
Wapo kibiasha zaidi Mexican hawahingilii interest zao as long wanatumia dola kama means of exchange
 
Kaka picha yako ya mwisho unasema nikijana wa los zetas lakini mimi nimekuwa nafuatilia sana mambo mengi na nimefurahi kukutana na huu uzi wako maana mambo haya napenda sana kufuatilia. Ila hiyo picha sio ya los zetas bali ni member wa 18th Street Gang ambao wanajulikana pia kama M18 (tattoo kwenye uso wake ni uthibitisho)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…