Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mnalilia tag za nini na nyie? Si u subscribe tu kwa topic hii utapata notifications!! [emoji48]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumetoa notification ya subscribed topics maana inasumbua. Ila tumeacha notification ije tu pale mtu atakapo ku mention au pm au like...Mnalilia tag za nini na nyie? Si u subscribe tu kwa topic hii utapata notifications!! [emoji48]
Unamaanisha nini?Hata wakisema hivyo... I don't really phuck care.
Jiongeze bhana [emoji6]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Siku The bold utakayonitag nitaota!
shukraniNiwie radhi mkuu! Tayari nimekuongeza kwenye taglist
Kama Mimi siku akini tag nitaota tena mchana nikiwa ofsiniSiku The bold utakayonitag nitaota!
Nikitaka kuicheki hyo video niingie WAP mkuu?Ukitaka kujua ukatili wa hawa jamaa angalia video zao za uchinjaji very horrifying gruesome kuna video moja ilimuonyesha dada mmoja akichinjwa na hawa jamaa mpk waziri MKUU wa uingereza akaisemea ile video kiufupi ukatili wa hawa jamaa Isis wanasubiri
Mkuu 18 Street gang,Ms- 13 na Los Zetas haya yote ni kitu kimoja, Yameanzishwa tofauti lakini wana ushirika mmoja.Kaka picha yako ya mwisho unasema nikijana wa los zetas lakini mimi nimekuwa nafuatilia sana mambo mengi na nimefurahi kukutana na huu uzi wako maana mambo haya napenda sana kufuatilia. Ila hiyo picha sio ya los zetas bali ni member wa 18th Street Gang ambao wanajulikana pia kama M18 (tattoo kwenye uso wake ni uthibitisho)
Shemeji unitag pliiz...Bila shaka MKuu! Tayari nimekuongeza kwenye taglist..
Nikitaka kuicheki hyo video niingie WAP mkuu?
Shukrani Sana Mkuu The BoldDan sorry mkuu..
Nimekuongeza kwenye taglist tayari