Nyani Ngabu Platinum Member Joined May 15, 2006 Posts 94,296 Reaction score 122,540 May 28, 2017 #21 The Boss said: Wanawe wasipo shine ataumbuka saana Click to expand... Wewe umeona wapi eti mtu anayetaka kufanya vizuri kwenye biashara yake anawa-alienate wanawake? Mbona Jordan brand inatengeneza na kuuza vitu vya wanawake na ona ilivyo na mafanikio? Hadi bidhaa za watoto inatengeneza. Na ndo maana ni billion dollar brand. Huyu LaVar ni jinga jinga tu.
The Boss said: Wanawe wasipo shine ataumbuka saana Click to expand... Wewe umeona wapi eti mtu anayetaka kufanya vizuri kwenye biashara yake anawa-alienate wanawake? Mbona Jordan brand inatengeneza na kuuza vitu vya wanawake na ona ilivyo na mafanikio? Hadi bidhaa za watoto inatengeneza. Na ndo maana ni billion dollar brand. Huyu LaVar ni jinga jinga tu.
FisadiKuu JF-Expert Member Joined Nov 19, 2015 Posts 8,169 Reaction score 13,455 May 28, 2017 #22 My dude Lavar hahaha.. Juzi nimeona Russel wa Lakers akilike tweet inayosema "kwa jinsi Russel alivyocheza msimu huu nitashangaa sana kama Lakers watamdraft Lonzo Ball".. Nikaona pia Sixers walikuwa na mazungumzo na Lonzo..
My dude Lavar hahaha.. Juzi nimeona Russel wa Lakers akilike tweet inayosema "kwa jinsi Russel alivyocheza msimu huu nitashangaa sana kama Lakers watamdraft Lonzo Ball".. Nikaona pia Sixers walikuwa na mazungumzo na Lonzo..