Laana!!! Baba mzazi anatembea na mamkwe wangu

Wee ulishatuambia mzee wako ni mhuni sasa ulitaka uhuni huo akafanyie wapi? Kama amediriki kutoka nje ya mama yako anaweza kumuacha nani? Na huyo mamamkwe wako pia anashida amewezaje kuangalia movie na mme wa mtu hadi usiku wa manane?

Jamani huwezi kulaumu sumaku kunasana na chuma maana ni asili yake. Kumbuka siku zote hasi na chanja huleta sparks. Na tangu lini mhuni akawa mstaarabu?
 
Kitakachofuata ni mkeo, housegirl alishamalizwa kabla mama mkwe hajaja..
 
WEYE ACHA WIVU..! MWACHE MZEE AFAIDI WEZELE LA MAMKWE.!
Tena we hujui, ningekuwa mimi nawapiga chabo au nategesha cctv camera chumbani kwa mzee ili nije nione style wanazotumiaga unaweza kukuta mamkwe ni fundi kinoma mpaka mshua wako kamsahau mazako..!
 
Duuh
 
Aseee
 
Natumai wameshazaa na mtoto now.Ila pia wewe ni Fala unamlaumu Vipi Baba yako ilhali wajua NI mwanaume what if kama mama mkwe wako ndio kajilegeza kwake ?.Punguza Shobo nawe utazeeka🤣
 
sikiliza acha kujalinyasiyokuhusu,we mezea tu acha ujinga
 
Duh!! Wazazi wapo in early 40's, kama waliwazaa kwa kuwahi maana yake waliwazaa in early 20's, ikimaanisha wewe ma mkeo mpo kwenye late 10's. Kwa hapo mi naomba niishie hapohapo.
..means watoto wana watoto na wajukuu, hii ni tamthilia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…