Laana!!! Baba mzazi anatembea na mamkwe wangu

Laana!!! Baba mzazi anatembea na mamkwe wangu

Hii stor ni ya kitot sana. Dingi yupo early 40's. Je wew una umri gan? Bila shaka wew una early 20's or late 10's ndo ue umeoa sawa(posible) Umejenga nyumba yenye vyumba vingi tu? Kwa maisha aya haiwezekan kwa kijans wa late 10's au early 20's. Jipange uje na Stor inayodanganyika vizur
Chai tuuu hizi km chai nyngn tuu...huyu ni mtu mzm tuu...watoto wa siku hizi hawana uthubutu wa kuandika hivi....
 
Unamuonea wivu baba yako tu wewe hunalolote,sasa ulitegemea amukunje housegirl au mkeo ndo ungeona ni poa??!
Acha uduanzi wote wazazi wenu
 
Duh!! Wazazi wapo in early 40's, kama waliwazaa kwa kuwahi maana yake waliwazaa in early 20's, ikimaanisha wewe ma mkeo mpo kwenye late 10's. Kwa hapo mi naomba niishie hapohapo.
Hapo maana yake ni kwamba huyu jamaa na mkewe wana miaka 20+, maelezo yanaonesha kijana ameshajenga nyumba tayari tena ndani ya jiji kubwa katika umri wake wa 20+ ambao kwa kukadilia tu haujafika 25. Connect the dot.
 
Mkuu hapo hakuna laana zaidi ni mibaraka tele pia jiandae kupokea mdogo wako huku ni shemejiyo pia
 
Kipindi nasoma soma magazeti ya shigongo kunastori nilisoma kama hiyo kwahiyo muwe mna wa acknowledge waandishi halisi
 
Duh!! Wazazi wapo in early 40's, kama waliwazaa kwa kuwahi maana yake waliwazaa in early 20's, ikimaanisha wewe ma mkeo mpo kwenye late 10's. Kwa hapo mi naomba niishie hapohapo.
Story ya kuundaunda mpaka anadanganya
 
Hivi Kama baba yako alikuwa na miaka 17 wakati unazaliwa mama yako si alikuwa bado kabinti kadogo?
Usitufanye wajinga na story yako ya kutunga
 
Ameunganisha familia yako na mkeo ziendelee kuwa imara.
 
wewe una miaka mingapi..... maana dingi yako kama ni 40yrs...... bado moto uko mkali ajabu.....hata mkeo akijishebedua anatunguliwa.....shida iko wapi bana..... wanakula vizuri kwa wanao... miili inahemka....papo hapo
 
unaujua umri sahihi wa Baba yako Wewe?!
Kuhusu laana haipo hata kidogo. Hao sio ndugu kabisa. Kumbuka wanashinda wanaangalia series kutwa mzima unategemea nini?!
 
Baba ako anastahili pongezi kubwa sana. Hakuna laana ataendelea kua babako tu. Pay him a great respect. Pili, never on Earth usimwambie mkeo lolote kuhusu wazazi wenu kaa kimya ndo uanaume. Tumeumbwa na koo kubwa than women. Ulitaka mfaidi ninyi tu wao wasifaidi matunda yao? Mbona ninyi mnafaidi matunda yao?
 
Hapo mimi sijakuelewa,unamaanisha unamhurumia
mama mzazi kwa kusalitiwa na baba yako,au unamhurumia
baba mkwe kwa kusalitiwa na mke wako?
 
I hope mko ok humu. Mwenzenu akili yangu imevurugika baada ya masikio yangu kusikia kishichosikika. Kwa wakati huu niko kwenye jiji moja maarufu hapa tz. Mzee wangu yuko kwenye his early 40's na mamkwe pia yuko kwenye age hizo hizo. Sasa tuko na mzee wangu tangia mwezi wa nne, kuna maswala yake fulani anazifuatilia hapa town. Mamkwe wangu pia ana kama wiki tatu sasa, alikuja baada ya binti yake kuugua kidogo na kuwaona wajukuu zake. Kwangu tumeshajenga nyumba yenye vyumba vingi tu vya kutosha , kwa hiyo mzee wangu analala kwenye chumba chake, mamkwe pia pamoja na housegirl naye analala kivyake. Sasa juzi baada ya taifa stars kuniharibia siku, nkaenda zangu kulala huku hawa wazazi wetu pendwa wakiendelea kucheki muvi pamoja na mjakazi wetu. Sikubahatika kupata usingizi haraka ikanibidi nizame jf kidogo ili nipunguze stress kidogo. Sasa ilipofika mida ya saa sita hivi nkapata warning ya betery low na chaja mpaka sebuleni. Sasa kipindi naenda sebuleni kwenye korido ya chumba anacholala mamkwe nkasikia sauti ile ya mahaba kwa mbaali. Yaani walikuwa kwenye climax. Mama yangu!!!! Nilijiuliza maswali mengi huku nikiganda pale pale. Gafla nkasikia sauti ya mzee akikohoa kwa mbali. Daaaaaah!!! Niliishiwa nguvu ghafla hata chaja nkashindwa kwenda kuchukuwa nkarudi zangu chumbani. Mke wangu alikuwa na shift ya usiku kwa hiyo hakwepo kwa muda huo. Sijamwambia chochote ila hii swala inanitesa kweli kweli. Mzee wangu huwa ni mhuni namjua vizuri ila kwa nini afanye kitu kama hii ndani mwangu? Alafu kwa mamkwe???? Nimuitaje sasa mamkwe? mamdogo? Au mzee wangu ndo hivo tena amekuwa bamkwe? Jamani naombeni ushauri wenu akili yangu haufanyi kazi.
Unataka kusema siku ya harusi wewe hukumpiga busu mke wako
mbele yao? kama ni laana basi tukomeshe kufanya mambo
ya kimahaba mbele ya wazazi wetu,tukiendeleza nao wanatafuta mbadala.
 
Back
Top Bottom