Laana!!! Baba mzazi anatembea na mamkwe wangu

Laana!!! Baba mzazi anatembea na mamkwe wangu

Watoto wa f 6 mnasumbua sana humu na vistory vyenu vya kutunga
[emoji23] [emoji23] daah mkuu hata mimi nimeshangaa. Huyu kijana kama baba yake yupo kwenye early 40s maana yake na yeye yupo kwenye early 20s. Af ameoa na amejenga nyumba yenye vyumba kadhaa...hivi wengine mjini hapa tunafanya nini?
 
[emoji23] [emoji23] daah mkuu hata mimi nimeshangaa. Huyu kijana kama baba yake yupo kwenye early 40s maana yake na yeye yupo kwenye early 20s. Af ameoa na amejenga nyumba yenye vyumba kadhaa...hivi wengine mjini hapa tunafanya nini?
Mkuu usihofu, kuna njia nyingi za kupata mali. Kwa mfano mimi ni mzee wa kubet sana . bahati na sibu hainaga umri.
 
Mkuu mzee wangu ni wa 1973 m nkazaliwa 17 years later. Nafikiri umenielewa sasa.
Kama hajaoa mwambie kabisa achukue mzigo. Unajua huku kwetu wanaitana sanzi sasa huyu usanzi huwa unakoleza mambo we acha tuu. Utakuta wanataniana ukiuliza unaambiwa huyu ni sanzi wangu. Halafu mdingi ndio kwanza yuko kwenye forties unataka sense wapi. Acha hizo bwana. Mchunie tu mjeda
 
I hope mko ok humu. Mwenzenu akili yangu imevurugika baada ya masikio yangu kusikia kishichosikika. Kwa wakati huu niko kwenye jiji moja maarufu hapa tz. Mzee wangu yuko kwenye his early 40's na mamkwe pia yuko kwenye age hizo hizo. Sasa tuko na mzee wangu tangia mwezi wa nne, kuna maswala yake fulani anazifuatilia hapa town. Mamkwe wangu pia ana kama wiki tatu sasa, alikuja baada ya binti yake kuugua kidogo na kuwaona wajukuu zake. Kwangu tumeshajenga nyumba yenye vyumba vingi tu vya kutosha , kwa hiyo mzee wangu analala kwenye chumba chake, mamkwe pia pamoja na housegirl naye analala kivyake. Sasa juzi baada ya taifa stars kuniharibia siku, nkaenda zangu kulala huku hawa wazazi wetu pendwa wakiendelea kucheki muvi pamoja na mjakazi wetu. Sikubahatika kupata usingizi haraka ikanibidi nizame jf kidogo ili nipunguze stress kidogo. Sasa ilipofika mida ya saa sita hivi nkapata warning ya betery low na chaja mpaka sebuleni. Sasa kipindi naenda sebuleni kwenye korido ya chumba anacholala mamkwe nkasikia sauti ile ya mahaba kwa mbaali. Yaani walikuwa kwenye climax. Mama yangu!!!! Nilijiuliza maswali mengi huku nikiganda pale pale. Gafla nkasikia sauti ya mzee akikohoa kwa mbali. Daaaaaah!!! Niliishiwa nguvu ghafla hata chaja nkashindwa kwenda kuchukuwa nkarudi zangu chumbani. Mke wangu alikuwa na shift ya usiku kwa hiyo hakwepo kwa muda huo. Sijamwambia chochote ila hii swala inanitesa kweli kweli. Mzee wangu huwa ni mhuni namjua vizuri ila kwa nini afanye kitu kama hii ndani mwangu? Alafu kwa mamkwe???? Nimuitaje sasa mamkwe? mamdogo? Au mzee wangu ndo hivo tena amekuwa bamkwe? Jamani naombeni ushauri wenu akili yangu haufanyi kazi.
Duh, nimeshangaa kuwa baba yako yuko kwenye early 40s halafu ana kijana wa kiume ambaye ameoa na ana watoto! Yaani inanipa picha kuwa huyo mzee hizo tabia ni za kawaida na alizianza zamani.

Ningekuwa mimi wala nisingemwacha, lazima ningemweka kitako na kumrudisha kwake, adabu yake ni ndogo mno.

Vv
 
Mkuu kama wewe dume la kenge,mzee yeye dume la kuku yaani Jogoo anapanda tu jike lolote lile.
 
Back
Top Bottom