Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] daah mkuu hata mimi nimeshangaa. Huyu kijana kama baba yake yupo kwenye early 40s maana yake na yeye yupo kwenye early 20s. Af ameoa na amejenga nyumba yenye vyumba kadhaa...hivi wengine mjini hapa tunafanya nini?Watoto wa f 6 mnasumbua sana humu na vistory vyenu vya kutunga
Mkuu usihofu, kuna njia nyingi za kupata mali. Kwa mfano mimi ni mzee wa kubet sana . bahati na sibu hainaga umri.[emoji23] [emoji23] daah mkuu hata mimi nimeshangaa. Huyu kijana kama baba yake yupo kwenye early 40s maana yake na yeye yupo kwenye early 20s. Af ameoa na amejenga nyumba yenye vyumba kadhaa...hivi wengine mjini hapa tunafanya nini?
Nimeshajibu hili swali. Am 27 years old ,my father is 44 na mke wangu ni 24.Una age gani?
Aisee...!Noo sijautunga mkuu. Kama unajuwa ndoa za vijijini utanielewa. My father is just 17 years older than me na nko na 27 years
Kwa hiyo babako alitia mimba akiwa na miaka 16?Nimeshajibu hili swali. Am 27 years old ,my father is 44 na mke wangu ni 24.
Kama hajaoa mwambie kabisa achukue mzigo. Unajua huku kwetu wanaitana sanzi sasa huyu usanzi huwa unakoleza mambo we acha tuu. Utakuta wanataniana ukiuliza unaambiwa huyu ni sanzi wangu. Halafu mdingi ndio kwanza yuko kwenye forties unataka sense wapi. Acha hizo bwana. Mchunie tu mjedaMkuu mzee wangu ni wa 1973 m nkazaliwa 17 years later. Nafikiri umenielewa sasa.
Back front, side to side... hahahaha.... umenikumbusha kitu...
What is it love ?? [emoji87] [emoji87][emoji85] [emoji85] [emoji85]
Duh, nimeshangaa kuwa baba yako yuko kwenye early 40s halafu ana kijana wa kiume ambaye ameoa na ana watoto! Yaani inanipa picha kuwa huyo mzee hizo tabia ni za kawaida na alizianza zamani.I hope mko ok humu. Mwenzenu akili yangu imevurugika baada ya masikio yangu kusikia kishichosikika. Kwa wakati huu niko kwenye jiji moja maarufu hapa tz. Mzee wangu yuko kwenye his early 40's na mamkwe pia yuko kwenye age hizo hizo. Sasa tuko na mzee wangu tangia mwezi wa nne, kuna maswala yake fulani anazifuatilia hapa town. Mamkwe wangu pia ana kama wiki tatu sasa, alikuja baada ya binti yake kuugua kidogo na kuwaona wajukuu zake. Kwangu tumeshajenga nyumba yenye vyumba vingi tu vya kutosha , kwa hiyo mzee wangu analala kwenye chumba chake, mamkwe pia pamoja na housegirl naye analala kivyake. Sasa juzi baada ya taifa stars kuniharibia siku, nkaenda zangu kulala huku hawa wazazi wetu pendwa wakiendelea kucheki muvi pamoja na mjakazi wetu. Sikubahatika kupata usingizi haraka ikanibidi nizame jf kidogo ili nipunguze stress kidogo. Sasa ilipofika mida ya saa sita hivi nkapata warning ya betery low na chaja mpaka sebuleni. Sasa kipindi naenda sebuleni kwenye korido ya chumba anacholala mamkwe nkasikia sauti ile ya mahaba kwa mbaali. Yaani walikuwa kwenye climax. Mama yangu!!!! Nilijiuliza maswali mengi huku nikiganda pale pale. Gafla nkasikia sauti ya mzee akikohoa kwa mbali. Daaaaaah!!! Niliishiwa nguvu ghafla hata chaja nkashindwa kwenda kuchukuwa nkarudi zangu chumbani. Mke wangu alikuwa na shift ya usiku kwa hiyo hakwepo kwa muda huo. Sijamwambia chochote ila hii swala inanitesa kweli kweli. Mzee wangu huwa ni mhuni namjua vizuri ila kwa nini afanye kitu kama hii ndani mwangu? Alafu kwa mamkwe???? Nimuitaje sasa mamkwe? mamdogo? Au mzee wangu ndo hivo tena amekuwa bamkwe? Jamani naombeni ushauri wenu akili yangu haufanyi kazi.
Wacha niake kimya... kwa sasa...
I know you will tell me later love not so???
Ahahahaaa eti kyukyu lol..Ofcoz i will tell you later... hapa kuna kuku wengi...
Daah nimecheka kwa kweliiNawe mkuu siku ukikutana na Mahondav usije lalamika hapa,
Inawezekana akawa na nywele zenye mvi kifuani kaa kimya tu.