1. Binadamu mwenye kauli anaweza vipi kuyanyamazia ya Gaza?
View attachment 2853460
2. Kwamba watoto na wanawake wale, kwa hatia ipi Yarabi?
3. Natenyahu yuko njia moja:
View attachment 2853462
4. Joe Biden ni Suala la muda tu.
View attachment 2853465
5. Kwa hakika ikawakumbe wote, hata walioamua kuufyata.