Kuna matukio mengi ya ukiukaji wa amri ya nne kati ya amri kumi za mungu. Watu wamekoseshwa nafasi za masomo kwa kutoikana imani ya kisabato. Watu amefurahia ikiwa ni pamoja na kuwatukana @was@aba@to kwa linalowakuta. Jihadhalini sana na hilo naimani majibu yake yapo ya kimbingu.