Laana ni kuchukua TZS Bilioni 3 ili mfanye siasa

Laana ni kuchukua TZS Bilioni 3 ili mfanye siasa

mkushite

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2021
Posts
666
Reaction score
1,619
Namshukuru sana Lema kwa kuona tatizo la bodaboda na kuliongelea. Kimsingi jamaa yuko sahihi sema siasa zitaaribu hoja yake ya msingi. Bodaboda ni tatizo kubwa sana nchini, miaka 20 ijayo ilo tatizo litaonekana wazi, cha kufanya ni kukabiliana na tatizo kabla halijawa kubwa. Changamoto mbili zitawakabili hawa vijana, tatizo la afya na la kiuchumi. Changamoto za vijana hawa zitatatuliwa kwa kuwezeshwa kiuchumi yaani wafanye kazi rasmi ambazo zitalinda afya yao na kuongeza pato lao.

Kama siyo laana ni nini? unachukuaje 3 bilioni kwa ajili ya siasa za kwenda kwenye majukwaa kuwananga vijana kwamba kazi zao ni mbovu sana wakati bila wao hizo fedha usingezipata. Inamaana wewe unayechukua hizo hela za wavuja jasho bila kutatua tatizo lao utakuwa umelaaniwa.

Ili kulinda hoja yenu ya kuwakwamua bodaboda katika umaskini, Chukueni hizo 3 bilioni, tengenezeni kiwanda au anzisheni mradi wowote ambao utaajiri vijana wa bodaboda zaidi ya 300 ambapo mtakuwa mmesaidia familia nyingi na serikali itaona mfano kutoka kwenu.

JPM alikuwa sahihi sana kuua vyama vya siasa. Haiwezekani chama kimoja unakipa ruzuku ya 3 bilioni ili kifanye siasa, ambapo hizo fedha zingesaidia kujenga shule, zahanati, daraja, barabara, mitaji kwa vijana n.k.
 
Namshukuru sana Lema kwa kuona tatizo la bodaboda na kuliongelea. Kimsingi jamaa yuko sahihi sema siasa zitaaribu hoja yake ya msingi. Bodaboda ni tatizo kubwa sana nchini, miaka 20 ijayo ilo tatizo litaonekana wazi, cha kufanya ni kukabiliana na tatizo kabla halijawa kubwa. Changamoto mbili zitawakabili hawa vijana, tatizo la afya na la kiuchumi. Changamoto za vijana hawa zitatatuliwa kwa kuwezeshwa kiuchumi yaani wafanye kazi rasmi ambazo zitalinda afya yao na kuongeza pato lao.

Kama siyo laana ni nini? unachukuaje 3 bilioni kwa ajili ya siasa za kwenda kwenye majukwaa kuwananga vijana kwamba kazi zao ni mbovu sana wakati bila wao hizo fedha usingezipata. Inamaana wewe unayechukua hizo hela za wavuja jasho bila kutatua tatizo lao utakuwa umelaaniwa.

Ili kulinda hoja yenu ya kuwakwamua bodaboda katika umaskini, Chukueni hizo 3 bilioni, tengenezeni kiwanda au anzisheni mradi wowote ambao utaajiri vijana wa bodaboda zaidi ya 300 ambapo mtakuwa mmesaidia familia nyingi na serikali itaona mfano kutoka kwenu.

JPM alikuwa sahihi sana kuua vyama vya siasa. Haiwezekani chama kimoja unakipa ruzuku ya 3 bilioni ili kifanye siasa, ambapo hizo fedha zingesaidia kujenga shule, zahanati, daraja, barabara n.k.
Mkuu heshima kwako.

Wakat unaongeleq 3B za CDM, wakat huo CCM wanapokea 2B kila mwezi.
Nakupa taarifa tu
 
Sijui hata unaongea Nini ??

Sijui hata unajaribu kutetea Nini ?

Nadhani wivu tu unakusumbua baada ya kusikia CDM wameanza kupokea ruzuku.

Ruzuku ipo kisheria na kikatiba, mnapoambiwa mbadilishe katiba hamtaki halafu mnaleta wivu wa kijinga....

RUZUKU INGEFUTWA KWA VYAMA VYOTE.
 
Namshukuru sana Lema kwa kuona tatizo la bodaboda na kuliongelea. Kimsingi jamaa yuko sahihi sema siasa zitaaribu hoja yake ya msingi. Bodaboda ni tatizo kubwa sana nchini, miaka 20 ijayo ilo tatizo litaonekana wazi, cha kufanya ni kukabiliana na tatizo kabla halijawa kubwa. Changamoto mbili zitawakabili hawa vijana, tatizo la afya na la kiuchumi. Changamoto za vijana hawa zitatatuliwa kwa kuwezeshwa kiuchumi yaani wafanye kazi rasmi ambazo zitalinda afya yao na kuongeza pato lao.

Kama siyo laana ni nini? unachukuaje 3 bilioni kwa ajili ya siasa za kwenda kwenye majukwaa kuwananga vijana kwamba kazi zao ni mbovu sana wakati bila wao hizo fedha usingezipata. Inamaana wewe unayechukua hizo hela za wavuja jasho bila kutatua tatizo lao utakuwa umelaaniwa.

Ili kulinda hoja yenu ya kuwakwamua bodaboda katika umaskini, Chukueni hizo 3 bilioni, tengenezeni kiwanda au anzisheni mradi wowote ambao utaajiri vijana wa bodaboda zaidi ya 300 ambapo mtakuwa mmesaidia familia nyingi na serikali itaona mfano kutoka kwenu.

JPM alikuwa sahihi sana kuua vyama vya siasa. Haiwezekani chama kimoja unakipa ruzuku ya 3 bilioni ili kifanye siasa, ambapo hizo fedha zingesaidia kujenga shule, zahanati, daraja, barabara n.k.
Siasa yenyewe inakuwa ni ya kukutukanisha kwa wananchi.
 
Namshukuru sana Lema kwa kuona tatizo la bodaboda na kuliongelea. Kimsingi jamaa yuko sahihi sema siasa zitaaribu hoja yake ya msingi. Bodaboda ni tatizo kubwa sana nchini, miaka 20 ijayo ilo tatizo litaonekana wazi, cha kufanya ni kukabiliana na tatizo kabla halijawa kubwa. Changamoto mbili zitawakabili hawa vijana, tatizo la afya na la kiuchumi. Changamoto za vijana hawa zitatatuliwa kwa kuwezeshwa kiuchumi yaani wafanye kazi rasmi ambazo zitalinda afya yao na kuongeza pato lao.

Kama siyo laana ni nini? unachukuaje 3 bilioni kwa ajili ya siasa za kwenda kwenye majukwaa kuwananga vijana kwamba kazi zao ni mbovu sana wakati bila wao hizo fedha usingezipata. Inamaana wewe unayechukua hizo hela za wavuja jasho bila kutatua tatizo lao utakuwa umelaaniwa.

Ili kulinda hoja yenu ya kuwakwamua bodaboda katika umaskini, Chukueni hizo 3 bilioni, tengenezeni kiwanda au anzisheni mradi wowote ambao utaajiri vijana wa bodaboda zaidi ya 300 ambapo mtakuwa mmesaidia familia nyingi na serikali itaona mfano kutoka kwenu.

JPM alikuwa sahihi sana kuua vyama vya siasa. Haiwezekani chama kimoja unakipa ruzuku ya 3 bilioni ili kifanye siasa, ambapo hizo fedha zingesaidia kujenga shule, zahanati, daraja, barabara n.k.
Yaani huyu mama kwakweli nachelea ata kutumia hilo neno juu yake ila sheria inakataza,na bado tu anagawa hela kwa kununua magori kwa simba Yanga yaani utadhani hili taifa tunajiweza kwa kila kitu.
Ccm zote zilizopita sjawai kuona ccm kama ya kipindi hiki cha hawamu ya sita.
 
JPM alikuwa sahihi sana kuua vyama vya siasa
Na ndio maana yalitokea yaliyotokea

Huwezi kuendesha nchi kwa kufunga watu midomo... Haya sasa hivi tunazungumzia suala la bodaboda..

Lema amefungua mjadala ambao tunatakiwa kuendelea kutoa mawazo ili mtoto mdogo wa shule ya msingi asishawishike akimaliza elimu yake aone bodaboda ndio kazi ya maana...
...
Bila vyama vya upinzani kupata jukwaa la kuzungumza hilo.. Tungekuwa hatuna huu mjadala..
JPM alikosea sana kwenye mpango wake wa kuuwa vyama pinzani
 
Namshukuru sana Lema kwa kuona tatizo la bodaboda na kuliongelea. Kimsingi jamaa yuko sahihi sema siasa zitaaribu hoja yake ya msingi. Bodaboda ni tatizo kubwa sana nchini, miaka 20 ijayo ilo tatizo litaonekana wazi, cha kufanya ni kukabiliana na tatizo kabla halijawa kubwa. Changamoto mbili zitawakabili hawa vijana, tatizo la afya na la kiuchumi. Changamoto za vijana hawa zitatatuliwa kwa kuwezeshwa kiuchumi yaani wafanye kazi rasmi ambazo zitalinda afya yao na kuongeza pato lao.

Kama siyo laana ni nini? unachukuaje 3 bilioni kwa ajili ya siasa za kwenda kwenye majukwaa kuwananga vijana kwamba kazi zao ni mbovu sana wakati bila wao hizo fedha usingezipata. Inamaana wewe unayechukua hizo hela za wavuja jasho bila kutatua tatizo lao utakuwa umelaaniwa.

Ili kulinda hoja yenu ya kuwakwamua bodaboda katika umaskini, Chukueni hizo 3 bilioni, tengenezeni kiwanda au anzisheni mradi wowote ambao utaajiri vijana wa bodaboda zaidi ya 300 ambapo mtakuwa mmesaidia familia nyingi na serikali itaona mfano kutoka kwenu.

JPM alikuwa sahihi sana kuua vyama vya siasa. Haiwezekani chama kimoja unakipa ruzuku ya 3 bilioni ili kifanye siasa, ambapo hizo fedha zingesaidia kujenga shule, zahanati, daraja, barabara n.k.
Kuwapa watu elimu ya kuwafungua ni muhim kuliko hicho kiwanda Chief. Nchi hii hakuna umasikin wa kipato kama watu wanavyofikir. Tuna umasikin wa akili. Binadamu anahtaji elimu tu basi mengine yataletwa na ufahamu wake. Watu wanatakiwa kujulishwa hatima yake ni yeye sio serikali. Ule ujamaa ulitumaliza tumekuwa waongeaji zaid.
 
Yaani huyu mama kwakweli nachelea ata kutumia hilo neno juu yake ila sheria inakataza,na bado tu anagawa hela kwa kununua magori kwa simba Yanga yaani utadhani hili taifa tunajiweza kwa kila kitu.
Ccm zote zilizopita sjawai kuona ccm kama ya kipindi hiki cha hawamu ya sita.
Magori[emoji777]
Magoli[emoji736]

"Huko shule mnaenda kusomea ujinga" FaizaFoxy
 
Sijui hata unaongea Nini ??

Sijui hata unajaribu kutetea Nini ?

Nadhani wivu tu unakusumbua baada ya kusikia CDM wameanza kupokea ruzuku.

Ruzuku ipo kisheria na kikatiba, mnapoambiwa mbadilishe katiba hamtaki halafu mnaleta wivu wa kijinga....

RUZUKU INGEFUTWA KWA VYAMA VYOTE.
CDM walisema hawaitambui serikali ya CCM iliyotokana na uchaguzi Mkuu wa 2020 na hawatapokea ruzuku!
Kulikoni tena au jini CCM kabadilika kuwa mwema![emoji1787][emoji1787]
 
Yaani huyu mama kwakweli nachelea ata kutumia hilo neno juu yake ila sheria inakataza,na bado tu anagawa hela kwa kununua magori kwa simba Yanga yaani utadhani hili taifa tunajiweza kwa kila kitu...
Bibi kachemka, sema kinachombeba ni kuwa anaongoza taifa la wanafiki na mbumbumbu!
 
Na ndio maana yalitokea yaliyotokea

Huwezi kuendesha nchi kwa kufunga watu midomo... Haya sasa hivi tunazungumzia suala la bodaboda..

Lema amefungua mjadala ambao tunatakiwa kuendelea kutoa mawazo ili mtoto mdogo wa shule ya msingi asishawishike akimaliza elimu yake aone bodaboda ndio kazi ya maana...
...
Bila vyama vya upinzani kupata jukwaa la kuzungumza hilo.. Tungekuwa hatuna huu mjadala..
JPM alikosea sana kwenye mpango wake wa kuuwa vyama pinzani
Mjadala kwa chama cha upinzani makini unapaswa uwe ni mfumuko wa bei ya chakula na mahitaji mengine ya msingi kama Nishati ya umeme na Mafuta ya kundeshea mitambo na magari.
Bodaboda wapo sana na watazidi kuwepo,hii nchi bado inajikongoja kiuchumi, Kwaiyo uwezo kuwazuia vijana kuendesha Bodaboda!
 
Namshukuru sana Lema kwa kuona tatizo la bodaboda na kuliongelea. Kimsingi jamaa yuko sahihi sema siasa zitaaribu hoja yake ya msingi. Bodaboda ni tatizo...
Akili za CCM zimegotea hapo

Wizi na ubadhirifu vimezalisha bodaboda na machinga na panyaroad

Tuweke mawazo na akili kuikwamua nchi.

Bodaboda ni kimbilio kwa sssa kwa kuwa hakuna mahala utashika pakashikika.

Tuwanasue wenetu na wadogo zetu kwenye hili tatizo la ajira za mchakamchaka.

CCM tunafeli wapi?
 
Sijui hata unaongea Nini ??

Sijui hata unajaribu kutetea Nini ?

Nadhani wivu tu unakusumbua baada ya kusikia CDM wameanza kupokea ruzuku.

Ruzuku ipo kisheria na kikatiba, mnapoambiwa mbadilishe katiba hamtaki halafu mnaleta wivu wa kijinga....

RUZUKU INGEFUTWA KWA VYAMA VYOTE.
Kila siku mnakumbushwa kuweka akiba ya maneno, leo ndio mnajua kuwa Ruzuku ipo kisheria na kikatiba ?, wakati mnasusa kuchukua mlikuwa hamjui kuwa ipo kisheria?

Nyinyi wenyewe ndio mlisema hadharani kuwa kuchukua ruzuku ni kuhalalisha uchaguzi wa 2020,

mlichokuwa mnawasagia kunguni ACT ndio hicho hicho mnafanya, sasa hivi nguvu yenu ya kutetea asali mlioipa jina Maridhiano ni kubwa kuliko kutetea wananch
 
Kila siku mnakumbushwa kuweka akiba ya maneno, leo ndio mnajua kuwa Ruzuku ipo kisheria na kikatiba ?, wakati mnasusa kuchukua mlikuwa hamjui kuwa ipo kisheria...
Mbona una makasiriko hivi mkuu?

Mambo bado mabichi mno... yule dikteta akiwa anawasulubu si mlikuwa mnacheka hadharani au sio
 
Magori[emoji777]
Magoli[emoji736]

"Huko shule mnaenda kusomea ujinga" FaizaFoxy
Angalia tunachokijadili ndugu yangu huko kujifanya unajua kiswahili hakutoku sahaidia wewe na hao machwa wenzio kuonekana kwamba hamna msahada wwte kwa taifa hili..
 
JPM alikuwa sahihi sana kuua vyama vya siasa. Haiwezekani chama kimoja unakipa ruzuku ya 3 bilioni ili kifanye siasa, ambapo hizo fedha zingesaidia kujenga shule, zahanati, daraja, barabara, mitaji kwa vijana n.k.
Una mawazo mabaya mno kufikiri hivi! Acheni ujinga vijana wa nchi hii tafadhali mtakwisha kwa siasa za kipumbavu!
 
Namshukuru sana Lema kwa kuona tatizo la bodaboda na kuliongelea. Kimsingi jamaa yuko sahihi sema siasa zitaaribu hoja yake ya msingi. Bodaboda ni tatizo kubwa sana nchini..

Punguza upotoshaji. Kila Jambo lina mipango yake, mambo ya siasa yana pesa zake na bajeti yake. Na mambo ya viwanda yana pesa zake na bajeti yake.

Kumwambia CHADEMA achukue bilioni tatu akajenge viwanda ni ujinga wa Hali ya juu. Unaacha serikali na wizara ya viwanda unahangaika na pesa za ruzuku ya CHADEMA. Punguza unafiki.
 
Back
Top Bottom