Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unanikumbusha kitendo dinho alichowafanyia madrid mwaka 2005 pale alipopiga goli 2 peke yake kwa style ileile mpaka kipyenga kinapulizwa madrid wanalala 3-0....
Unaona!? - wewe unaongelea issues za 2005!!
Jamaa kiwango kimepungua na si Dinho yule wa zamani!
Ingekuwa ni kuangalia viwango vya nyuma, Capello basi angemchuka OWEN!
Brazil kuna wachezaji wengi wazuri tu na jamaa keshasema anataka vijana wenye moyo wa kujituma, wenye kiu na njaa ya mafanikio.
Nafuu ya Scolari alichukua kombe ila dunga hata nusu fainali hafiki!Pole yake ronaldiho maana mambo kama hayo yalimkuta Romario enzi za scoalari kule Japan na kweli baada ya hapo scolari ameandamwa na laana hiyo mpka leo sijui yyko wapi?tusubiri Dunga naye
Katukosea Heshima hata PATO? its pain banaa!
Ukweli ni kuwa Dinho amepungua sana kiwango. Hata kwenye Champs League alikuwa akijipiga chenga mwenyewe na kufurahia hilo lisilo na tija. Dinho allikuwa na muda wake, akatumikia. Maisha yanaendelea. Other younger players are poised to take over ther mantle.
Ila siko sure kuhusu kumchukua Grafite na kumuacha Pato (kama ilikuwa lazima mmoja wao tu ndiye abaki).
Si issue sana Dinho kuachwa, kumbuka Romario aliachwa 2002.
Kocha ndiye mwenye uamuzi wa kumuacha au kumchukua, si hizo the so-called 'jumuia za kimataifa' (not Brazilian!).
Kuhusu mafanikio ya Dunga kama mchezaji, nikuuliza Chang Chomba je ni wachezaji wangapi wameshinda kombe la dunia? Dunga aliweza huku akiwa ni nahodha wa timu.
Je ni makocha wangapi wamefanikiwa kama Dunga wakiwa wachezaji? Ni wachache sana. Na Dunga ni mmoja wao.
Watu kadhaa wameumia kwa kuachwa wachezaji wao vipenzi. Ni uamuzi wa makocha. Ila tukubali Dinho wa sasa si 'yule'.
Kumbuka Domenech naye kamuacha Nasri...