Feberia
JF-Expert Member
- Aug 5, 2013
- 542
- 220
Kwa matukio yaliyofanywa na TFF Malinzi & Mwesigwa kuangalia upande wa asili (nyumbani) umeanza kuzaa matunda ya wazi sasa
Pointi tatu walizomnyima Simba kwa kupindisha ukweli hautawaacha salama msimu huu na uwezekano mkubwa wakarudi daraja la kwanza mcimu ujao.
Itakuwa funzo kwa wengine
Pointi tatu walizomnyima Simba kwa kupindisha ukweli hautawaacha salama msimu huu na uwezekano mkubwa wakarudi daraja la kwanza mcimu ujao.
Itakuwa funzo kwa wengine