Laana ya Manara inaitafuna Simba bila kujijua

Mr. Sound

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
2,227
Reaction score
4,773
wakuu salaam,

Ukitizama profile za wachezaji wa simba utagundua simba inakikosi bora zaidi Tanzania bt why hawafanyi vizuri licha ya kupata pre-season nzuri?

Kitendo cha kuudharau mchango wa Manara na kumbambikia kesi ya usaliti hadi akatoa machozi ile ni nuksi/laana tosha inayoitafuna simba bila kujijua.

Pendekezo langu uongozi wa simba wamuite manara hata kimya kimya wamalize tofauti zao, kinyume na hapo karma itaendelea kututafuna kwa muda mrefu.

NB: wasoijua karma watatukana bt muda utawapa majibu sahihi.
 
Ujanjaujanja Tu, Asingelia Ndiyo Ingekuwa Vp?
Kesho Yanga Ikifanya Vibaya Hutakosa La Kusema
Team Yoyote Duniani Haiwezi Kuwa Bora Daima


Zipo Nyakati Kama Hizi Ambapo Ndiyo Hali Halisi
 
Wakati Simba inatolewa na UD Songo, Manara akiwepo, ilikuwa laana ya nani?

Haya,Yanga imetolewa na Rivers United. Hiyo nayo tuseme ni laana ya nani?Antonio Nugaz?
 
Huyo mzungu koko hana laana wala hawezi kuichia simba laana yotote!

Huyo mzungu koko imetokea coincidence tu anajitapa eti laana yake, msukule huyo!

Man Utd hana imefungwa 5 mtungi nyumbani kwao ile ni laana ya nani mjinga huyo?
 
Wakati Simba inatolewa na UD Songo, Manara akiwepo, ilikuwa laana ya nani?

Haya,Yanga imetolewa na Rivers United. Hiyo nayo tuseme ni laana ya nani?Antonio Nugaz?
Achana Na Wapiga Ramli Chonganishi Hao Hawana Maana
Mchezo Wa Wazi Simba Imezidiwa Mbinu Ndugu Huo Ndiyo Mpira. Hao Wanaompaisha Hadji Hawajitambui

Simba Haiwezi Kuwa Bora Milele, Hata Majuu Tunaona Team
 
Ujanjaujanja Tu, Asingelia Ndiyo Ingekuwa Vp?
Kesho Yanga Ikifanya Vibaya Hutakosa La Kusema
Team Yoyote Duniani Haiwezi Kuwa Bora Daima


Zipo Nyakati Kama Hizi Ambapo Ndiyo Hali Halisi
kama huijui karma huwezi elewa
 
Manara Nani pale Simba[emoji16][emoji16][emoji16].
Kala 5-0 man United nao wana laana ya Nani?
acheni kumpa mtu sifa asizokuwa Nazo
 
Huyo mzungu koko hana laana wala hawezi kuichia simba laana yotote!!!
Huyo mzungu koko imetokea coincidence tu anajitapa eti laana yake, msukule huyo!
Man Utd hana imefungwa 5 mtungi nyumbani kwao ile ni laana ya nani mjinga huyo...!?!!
man u kafungwa na team bora, hata simba tungefungwa na mamelod, al ahly, wydad na raja wala tusingehoji bt kwa kinachoendelea sasa simba karma inatutafuna si bure.
 
Wakati Simba inatolewa na UD Songo, Manara akiwepo, ilikuwa laana ya nani?

Haya,Yanga imetolewa na Rivers United. Hiyo nayo tuseme ni laana ya nani?Antonio Nugaz?
tulitolewa na UD songo kwa kanuni sio kama jana tulivyotolewa jana kwa aibu nzito tena na team mbovu kama ile.
 
Simba sio timu ya kwanza kufungwa na kutolewa katika mashindano, sio sahihi kuanza kutafuta mchawi. Mpira wa miguu huwa una matokeo ya kikatili sana
 
Manara Nani pale Simba[emoji16][emoji16][emoji16].
Kala 5-0 man United nao wana laana ya Nani?
acheni kumpa mtu sifa asizokuwa Nazo
man u kafungwa na team bora mkuu, sie tumefungwa na team mbovu.

karma ni kanuni ya kiroho baina ya cause and effects, cause ikiwa nzuri karma hutoa effects nzuri bt cause ikiwa mbaya karma huleta effect mbaya.
 
Hakuna cha laana ya Manara wala nini Mpira una matokeo kadhaa, kufungwa ni mojawapo ya matokeo. Tushafungwa na AS Vita, UD Songo nk. Mbona Manara alikuwepo?
 
Simba sio timu ya kwanza kufungwa na kutolewa katika mashindano, sio sahihi kuanza kutafuta mchawi. Mpira wa miguu huwa una matokeo ya kikatili sana
wengi wetu hatuijui karma bt kupitia sakata la manara na simba tutajifunza kitu kuhusu karma
 
man u kafungwa na team bora mkuu, sie tumefungwa na team mbovu.

karma ni kanuni ya kiroho baina ya cause and effects, cause ikiwa nzuri karma hutoa effects nzuri bt cause ikiwa mbaya karma huleta effect mbaya.
Kwenye mpira hakuna karma.
Ukifanya makosa utafungwa
huyo alichanganya urafiki na kazi.
Hakuna mtu yeyote angeweza kumvumilia.mbaya zaidi akaanza kutukana viongozi wake.
Akajiona yupo juu ya timu.
Simba sio manara.
 
wengi wetu hatuijui karma bt kupitia sakata la manara na simba tutajifunza kitu kuhusu karma
Sipingani na wewe, naheshimu mtazamo wako maana hakuna anayejua kila kitu ila bado naamini ni matokeo tu
 
Hakuna cha laana ya Manara wala nini Mpira una matokeo kadhaa, kufungwa ni mojawapo ya matokeo. Tushafungwa na AS Vita, UD Songo nk. Mbona Manara alikuwepo?
mi sijakataa simba kufungwa bt kwa ujumla tunachopitia toka msimu unaanza ni karma maana tunakikosi kizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…