Mshua's
JF-Expert Member
- May 22, 2013
- 804
- 553
Wakuu habari zenu!
Nimeona nilete hii mada ili tuweze kuijadili na kupata ukweli na uzoefu kutoka kwa watu mbali mbali. Hivi, maneno ya wosia anayoacha marehemu kwa watu waliobaki huwa yana uhalisia katika utekelezaji?
Na kwa nini? Kwa mfano, marehemu aliacha laana ya kuwa fukara kwa mtoto wake na kweli ikatokea.
Je, kuna uhusiano gani katika uhalisia wa jambo na maneno ya mtu aliyekufa. Ni kweli wengine huwa na mtazamo wa mbali wa kuweza kufocus jambo na kuliona kabla ya wengine, lakini wengine ni maneno tu! Inakuwaje hapa!
Karibuni
Nimeona nilete hii mada ili tuweze kuijadili na kupata ukweli na uzoefu kutoka kwa watu mbali mbali. Hivi, maneno ya wosia anayoacha marehemu kwa watu waliobaki huwa yana uhalisia katika utekelezaji?
Na kwa nini? Kwa mfano, marehemu aliacha laana ya kuwa fukara kwa mtoto wake na kweli ikatokea.
Je, kuna uhusiano gani katika uhalisia wa jambo na maneno ya mtu aliyekufa. Ni kweli wengine huwa na mtazamo wa mbali wa kuweza kufocus jambo na kuliona kabla ya wengine, lakini wengine ni maneno tu! Inakuwaje hapa!
Karibuni