Siyo mzazi tu mtu yoyote yule ukimfanyia jambo baya na moyo wake ukasononeka juu yako hufiki mbali nawe lazima yakupate majanga.Ukimkosea mzazi wako na usimtake radhi akakunenea maneno mabaya huchomoki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo mzazi tu mtu yoyote yule ukimfanyia jambo baya na moyo wake ukasononeka juu yako hufiki mbali nawe lazima yakupate majanga.Ukimkosea mzazi wako na usimtake radhi akakunenea maneno mabaya huchomoki.
Vichekesho vingine bwana [emoji2] [emoji2] [emoji2]Kama hujamkosea mzazi hakuna laana.
Na laana hairithiwi yaani ya baba yako haiwezi kua kwako.
"Lakini ninyi mwasema, Kwani yule mwana asiuchukue uovu wa baba yake? Yule mwana atakapofanya yaliyo halali na haki, na kuzishika amri zangu na kuzitenda, hakika ataishi. Roho itendayo dhambi, ndiyo itakayokufa; mwana hatauchukua uovu wa baba yake, wala baba hatauchukua uovu wa mwanawe, haki yake mwenye haki itakuwa juu yake, na uovu wake mwenye uovu utakuwa juu yake. -------- "Ezekieli: 18: 20-22
Hizo ni bangi mkuu hamna ukweli wowote
- Kumbe kutokuwaheshimu tu, siku zako za kuishi zinapungua.
- Ukiwaheshimu siku zako za kuishi zitakuwa nyingi na zenye mafanikio.