Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sasa yule uncle shamte ndy akiongea dua baya kwa diamond inampata.Ukweli ni kuwa jamaa sasa anaanza kupata matatizo kila unaemsikia hawamzungumzi kwa jema na wengine wamefika mbali kwa kusema msanii Diamond ameanza kupata laana arudi haraka kwa mzee Abduli amuombe razi. Kabla mzee hajaaga dunia.
Sijui kwanini watu mnahangaika namna hii.Ukweli ni kuwa jamaa sasa anaanza kupata matatizo kila unaemsikia hawamzungumzi kwa jema na wengine wamefika mbali kwa kusema msanii Diamond ameanza kupata laana arudi haraka kwa mzee Abduli amuombe razi. Kabla mzee hajaaga dunia.
Akili ya mwendawazimu tu ndio haihangaiki kwa mujibu wa waganga wa jadi na hata madaktari wamelikubali hilo.Sijui kwanini watu mnahangaika namna hii.
Pole sanaAkili ya mwendawazimu tu ndio haihangaiki kwa mujibu wa waganga wa jadi na hata madaktari wamelikubali hilo.
Demi.Wivu unawasumbua
YesDemi.
Uko buheri wa afya!
Kabisa kabisa sijui wewe mkuuUko buheri wa afya!
Niko salama salimini .Kabisa kabisa sijui wewe mkuu
Kama laana zingekuwa kweli basi angekwishakuanguka toka miaka kadhaa aisee. Jamaa kama kusemwa vibaya kaanza semwa vibaya tangu miaka nane iliyopita.Ukweli ni kuwa jamaa sasa anaanza kupata matatizo kila unaemsikia hawamzungumzi kwa jema na wengine wamefika mbali kwa kusema msanii Diamond ameanza kupata laana arudi haraka kwa mzee Abduli amuombe razi. Kabla mzee hajaaga dunia.