Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kwa sasa nchini China watu wenye umri wa miaka 35 wanakutana na laana ya kuwa na umri huo.
Kwa sasa Wachina wengi wenye umri wa miaka 35 wanakumbana na tishio la kukosa ajira ama mikataba yao ya ajira kutokuongezwa kutokana na kuonekana kuwa wana umri mkubwa.
Uchina ambayo kwa sasa ina utamaduni wa kufanyakazi kuanzia saa tatu Asubuhi mapaka saa tatu usiku, unaojulikana kwa jina la "996", imekumbwa na shinikizo la kufanya kazi kwa masaa mengi Ili kukidhi uhitaji wa bidhaa na huduma kwenye soko la China na nje ya China.
Kwa sasa Wachina wengi wenye umri wa miaka 35 wanakumbana na tishio la kukosa ajira ama mikataba yao ya ajira kutokuongezwa kutokana na kuonekana kuwa wana umri mkubwa.
Uchina ambayo kwa sasa ina utamaduni wa kufanyakazi kuanzia saa tatu Asubuhi mapaka saa tatu usiku, unaojulikana kwa jina la "996", imekumbwa na shinikizo la kufanya kazi kwa masaa mengi Ili kukidhi uhitaji wa bidhaa na huduma kwenye soko la China na nje ya China.