Laana ya viapo inavyowatafuna

Hakuna kitu kama hicho. Mi sioni kama vile viapo vinawaathiri kwa namna yoyote wakienda kinyume. Zaidi naona wanazidi kuneemeka tu.
 
Kuna mijitu Haina viapo na ni mijizi, matapeli, mikahaba, mivivu, majungu nk

Na hao wanawekwa kundi gani
 
Na wakifa wanaenda motoni
 
Ndio tujiulize sasa🤔
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…