TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Kwahiyo baba zetu waiokufa kwa high blood pressure, vifo vyao vilitokana na wazazi wao kuapa kwa kutumia vitabu ?Vipo....cum maagano...
Urithi etc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo baba zetu waiokufa kwa high blood pressure, vifo vyao vilitokana na wazazi wao kuapa kwa kutumia vitabu ?Vipo....cum maagano...
Urithi etc
Hakuna kitu kama hicho. Mi sioni kama vile viapo vinawaathiri kwa namna yoyote wakienda kinyume. Zaidi naona wanazidi kuneemeka tu.Mtu mzima na akili zake anakamata kitabu cha dini ya imani yake na kuapa halafu anavunja kiapo chake kwa kumdhihaki Mungu na kudhani maneno aliyoyatamka ni masihara.
Matokeo yake ni mateso, majuto, uchungu na laana.
Kwa mfano..wengi kama si wote. Wanasumbuliwa na mashinikizo ya damu, kisukari, kukosa nguvu za kiume, kansa, watoto kuharibikiwa kwa ulevi na dawa za kulevya pamoja na ushoga.
Nini suluhisho.
ALAMSIKI
Kuna mijitu Haina viapo na ni mijizi, matapeli, mikahaba, mivivu, majungu nkMtu mzima na akili zake anakamata kitabu cha dini ya imani yake na kuapa halafu anavunja kiapo chake kwa kumdhihaki Mungu na kudhani maneno aliyoyatamka ni masihara.
Matokeo yake ni mateso, majuto, uchungu na laana.
Kwa mfano..wengi kama si wote. Wanasumbuliwa na mashinikizo ya damu, kisukari, kukosa nguvu za kiume, kansa, watoto kuharibikiwa kwa ulevi na dawa za kulevya pamoja na ushoga.
Nini suluhisho.
ALAMSIKI
Na wakifa wanaenda motoniMtu mzima na akili zake anakamata kitabu cha dini ya imani yake na kuapa halafu anavunja kiapo chake kwa kumdhihaki Mungu na kudhani maneno aliyoyatamka ni masihara.
Matokeo yake ni mateso, majuto, uchungu na laana.
Kwa mfano..wengi kama si wote. Wanasumbuliwa na mashinikizo ya damu, kisukari, kukosa nguvu za kiume, kansa, watoto kuharibikiwa kwa ulevi na dawa za kulevya pamoja na ushoga.
Nini suluhisho.
ALAMSIKI
Ndio tujiulize sasa🤔Ndio maana vile vitabu vinaanza kudharaulika.
Ni kama havina nguvu ile tunayoambiwa inavyo.
Devine Power kwenye vile vitabu ni Utapeli tu mi naona.
Maana wanavitumia kuapa ili kuagana na kuahidi Uaminifu. Lakini wanavunja na hakuna kitu kinawapata.
HahahaaaaNa wakifa wanaenda motoni