Laana ya vifaranga: Tutarajie mapigo kama mafuriko, ukame, njaa, tetemeko, n.k kama sio wahusika wenyewe kupata pigo la moja kwa moja

Laana ya vifaranga: Tutarajie mapigo kama mafuriko, ukame, njaa, tetemeko, n.k kama sio wahusika wenyewe kupata pigo la moja kwa moja

Kwa nini una isulubisha nchi nzima kwa kosa la watu wachache?
Mbona una penda kuilaani nchi yako!
Hapo wewe ulipo umekosa nini mpaka Mwenye Enzi Mungu akuadhibu kwa ajili ya vifaranga vilivyo fia airport?
Kuna watu walio husika kwenye sakata lote hili wao ndio wata adhibiwa na Mwenye Enzi Mungu ipasavyo walahi!
TUJIFUNZE KUINENEA MEMA NCHI YETU TANZANIA [emoji1241]
KILA WAKATI!
 
Binadamu huwa tunajiona ni bora kuliko viumbe wengine na hudhani tuna haki mbele za Mungu kuliko viumbe wengine ambao na wameumbwa na Mungu. Si kweli hata kidogo na haya ni matokeo ya kutafsri vibaya maandiko matakatifu.
Hapa nitakesha lakini nisaidie kujibu hili swali: katika amri zote kumi ni ipi inayosema kuua mnyama ni dhambi na kufanya hivyo ni laana?

Binadamu ni kiumbe pekee mwenye hisia na kutokana na hilo anakuwa ni wa kipekee sana
 
Vyovyoyte itavyokuwa, wafanya maamuzi wetu hawawezi kukwepa lawama kwa vifaranga waliopoteza maisha na kwakuwa hii ni dhambi mbaya, lazima tutaadhibiwa kama nchi au wahiusika wenyewe ndio wataadhibiwa na NATURE moja kwa moja.

Viumbe wale hawakuwa na kosa lolote na kilio chao hakiwezi kwenda bure, na hivyo tujiandae kulipa gharama za dhambi ilioyofanyika. Tutaadhibiwa kama nchi au wahusika wenyewe ndio watakaodhibiwa moja kwa moja kutokana na maamuzi waliyoyafanya.

Nature inaweza kutushushia pigo lolote na mapigo ya aina hii yanaweza kuwa ni ukame, njaa, tetemoka au majanga mengine ya asili na tusielewe kuwa chanzo ni laana ya viumbe hawa.

kuna pigo la moja kwa moja linaweza kuwatokea wafanya maamuzi, pigo ambalo nikilitaja au kulifafanua, uzi unaweza kuondolewa hivyo sitasema chochote kuhusu hilo pigo ila kila mwenye akili mpaka hapa atakuwa ameelewa.

Sometimes Mataifa kama US hukumbwa na majanga ya asili kama vimbunga, n.k, sababu inaweza kuwa ni matokeo ya watawala katika nchi zao kuvamia nchi nyingine kwa visingizio mbalimbali na kuua watu wasio na hatia na kuwaacha wengine na vilema vya kudumu.

Laana sio ya paka tu bali hata viumbe wengine wana laana mbaya.

Muda utaongea.
Kwa jinsi wakulima kuku wanavypoteza vifaranaga katika mabanda,Bora Uzi huu ufutwe.
 
Kwa jinsi wakulima kuku wanavypoteza vifaranaga katika mabanda,Bora Uzi huu ufutwe.
Naunga mkono hoja.
Tena ufutwe na kutupwa kabisa kwenye dustbin!
Imagine ni watu wangapi leo hii wananyimwa haki na hadi kupoteza maisha kutokana na ugumu wa maisha, ila wanaotenda hayo wanajisifia?

Tena wengine wanathubutu kusema wazuri hawafi kwasababu tu wako kivulini na wenzao wako juani wanakamuliwa tozo kila mahali?

Ingekuwa Mungi anaadhibu kwa namna hiyo aliyosema basi anageanza na wauaji wa haki za binadamu wasio na chembe za huruma kwa binadamu wenzao eti wanatetea viumbe ambao wakati ukifika wanawafanya kitoweo!
 
Vipi walio modify genetic za hao vifaranga..?

Laana hii ni kwa waliochoma vifaranga tu, au hata kwa wanao choma kuku na kula bata.??
 
Vyovyoyte itavyokuwa, wafanya maamuzi wetu hawawezi kukwepa lawama kwa vifaranga waliopoteza maisha na kwakuwa hii ni dhambi mbaya, lazima tutaadhibiwa kama nchi au wahiusika wenyewe ndio wataadhibiwa na NATURE moja kwa moja.

Viumbe wale hawakuwa na kosa lolote na kilio chao hakiwezi kwenda bure, na hivyo tujiandae kulipa gharama za dhambi ilioyofanyika. Tutaadhibiwa kama nchi au wahusika wenyewe ndio watakaodhibiwa moja kwa moja kutokana na maamuzi waliyoyafanya.

Nature inaweza kutushushia pigo lolote na mapigo ya aina hii yanaweza kuwa ni ukame, njaa, tetemoka au majanga mengine ya asili na tusielewe kuwa chanzo ni laana ya viumbe hawa.

kuna pigo la moja kwa moja linaweza kuwatokea wafanya maamuzi, pigo ambalo nikilitaja au kulifafanua, uzi unaweza kuondolewa hivyo sitasema chochote kuhusu hilo pigo ila kila mwenye akili mpaka hapa atakuwa ameelewa.

Sometimes Mataifa kama US hukumbwa na majanga ya asili kama vimbunga, n.k, sababu inaweza kuwa ni matokeo ya watawala katika nchi zao kuvamia nchi nyingine kwa visingizio mbalimbali na kuua watu wasio na hatia na kuwaacha wengine na vilema vya kudumu.

Laana sio ya paka tu bali hata viumbe wengine wana laana mbaya.

Muda utaongea.
TUnasubiri mkuu huku tukiiombea toba Tanzania yetu
 
Back
Top Bottom