Laana ya Wenger yamtafuna Alexis Sanchez

Laana ya Wenger yamtafuna Alexis Sanchez

Ndivyo itakavyokuwa kwa Beno Kakolanya na Gadiel Michael...hawatacheza au kung'aa huko Simba..., mark mmy words...hakuna mchezaji wa Yanga aliyeleta nyodo na kuamua kwenda akafanikiwa huko...watacheza mwezi mmoja au miwili, na ndio utakuwa mwisho wao...
Beno mchawi,manula misimu 2 simba bila enjury yyt,msimu huu asipojiangalia ndio kishapotea kama walivyopotea kindoki na yule kipa mcameroon jehu,gadiel pale zimbwe inabidi apambane hasa la sivyo msimu ujao mkopo namungo fc
 
labda Gadiel , lakini Beno alidhulumiwa na Yanga
Beno hajadhulumiwa,alikua anadai stahiki zake na alilipwa ndio maana alishindwa kuvunja mkataba,baada ya kupewa stahiki zake Yanga wakamuacha akawa yuko mtaani tu maana dhumuni la kugoma kwake watu walishalijua,ameenda simba free agent baada ya Yanga kumuacha,beno hajavunja mkataba iwapo angekua anadai angeweza kuvunja mkataba
 
Wivu tu Kwasu Kwasu mnataka kuwakopa wachezaji kila siku signing fees za mikataba iliyopita hadi leo hamjamaliza ,wote wameondoka wainaidai Kwasu ,na Yondani angekuwa umri wa miaka 26 lazima tungemchukua mchezaji mzuri hawezi kufa ,njaa kwasababu yenu.vilaana visivyo na sababu haviwezi kumpata mtu majembe yatakamua kiroho safi
Nyie mamilionea juuko mmemlipa,mkuu hivi vilabu vyetu viangalie kwa nje tu,hata huko mikia wachezaji kibao wanadai signing fee tena mmojawapo huyo gadiel nikiwa na uhakika na chanzo cha habari kilichonipa hii nyuz
 
Yeye alikuwa msaliti...alishawishiwa aombe malipo yake kwa nia ya kuikomoa Yanga...watu wa Simba ndio waliomwendea baada ya kuwa nyota kwenye mchezo wa Yanga na Simba wa 0-0 kwa hiyo wakaona kuwa njia ya kuikomoa Yanga isiwe bingwa ni kutumia Beno kwani haina uwezo wa kumlipa...Mtu wa Simba akaenda kwenye kambi ya Yanga usiku wa manane na kumchukua Beno...Kama Beno angebaki ubingwa ungekuwa wa Yanga...kwa hiyo Beno ni msaliti...hatacheza mpira Simba...
Mkuu meneja wa beno ni mjumbe wa bodi ya mikia,Yanga walikua wanalijua hilo ila kwa vile beno alikua muadilifu awakua na shida nae,baada ya ile game ya simba watu wengi ndio walijua uwezo wa beno na hapo ndio mikia kwa kumtumia meneja wake ambae ni mjumbe wa bodi ya walipoanza kumlaghai,ndipo ikatumika ile kauli daima mbele nyuma mwiko beno asahau kucheza Yanga
 
Boss Iyo ni kazi lakini wanaangalia maslai
Simba iko vizuri kiuchumi lkn kwenye usajili wa huyu dogo kimaslahi ya kipaji na maslahi ya kipesa yalikua Yanga,Yanga pa1 na dhiki yao walijitutumua kufika m 60 cash tena dogo wakati anaenda afcon alisema apewe 50,baada ya kufika afcon kuna wanaojiita kamati ya uhamasishaji ya stars ilienda egypty kuongeza nguvu na ndio ilitumia nguvu ya vyeo serikalini kumshawishi dogo asaini simba,huko simba walimuhaidi m 80 ambayo kapewa 30 na gari crown nyingine atamaliziwa baadae,tukirudi kwenye nafasi yake uwanjani inambidi apambane sana kuchukua ile nafasi kwa shabalala
 
Wew
Ndivyo itakavyokuwa kwa Beno Kakolanya na Gadiel Michael...hawatacheza au kung'aa huko Simba..., mark mmy words...hakuna mchezaji wa Yanga aliyeleta nyodo na kuamua kwenda akafanikiwa huko...watacheza mwezi mmoja au miwili, na ndio utakuwa mwisho wao...
Wewe ni mzazi wao? Laana haziko hivyo. Hao kuna mahali wanakosea si cha laana wala nini!
 
aah wachangiaji washaanza ubishani "simba na yanga" yan hii kitu nachukia sanaa..mtu akishaleta hizo mada na badilisha njia..kiukweli mpira huku tanzania bado sanaa..
 
aah wachangiaji washaanza ubishani "simba na yanga" yan hii kitu nachukia sanaa..mtu akishaleta hizo mada na badilisha njia..kiukweli mpira huku tanzania bado sanaa..
Mada ishaharibika !
 
Mwacheni Mzee wa watu. Alikosa upadri kwa sababu zisizozuilika (Wakatoliki nao; mtu ananyimwa upadri kwa kuwa tu hajalelewa kwenye familia yenye baba na mama!!??!!). Mwacheni aepuke kula mihogo.
Andika mambo unayoyaelewa, Slaa hakukosa upadri bali aliacha upadri
 
"Remain at Arsenal and they'll make a statute of you here.. Go to other clubs like Manchester United or Manchester City and they'll make you a normal player"

Arsene Wenger to Alexis Sanchez in 2017.
 
"Remain at Arsenal and they'll make a statute of you here.. Go to other clubs like Manchester United or Manchester City and they'll make you a normal player"

Arsene Wenger to Alexis Sanchez in 2017.
God bless Wenger
 
Maslahi yawe ya haki na siyo kuhujumu timu nyingine...Kwa wale wasioyafahamu mazingira ya soka ya Tanzania wanaweza wakaona Gadiel na Beno hawakuwa na tatizo..Lakini kiukweli Gadiel na Beno walitumika kuihujumu Yanga..Gadiel alitumika kinamna..sina haja ya kufafanua hapa...Hii inadhihirishwa kwa namna alivyowazimia Yanga simu siku za mwisho kabla ya kwenda Simba...amekwenda huko kulipa fadhila...kama hakuwa na nia mbaya na Yanga asingeweza kuzima simu...Lakini huko hatacheza mpira..Pamoja na kwamba msimu uliopita Yanga haikuwa vizuri kitimu lakini ingeweza kuchukua ubingwa kamasiyo hujuma...hujuma nyingine ilikuwa ni ile ya viporo kwa timu fulani...Timu inakuwa na viporo mpaka mechi 10 wapi na wapi...
Mzee...umasikini mbaya....utatafuta kila sababu kujustfy umasikini wa yanga..but uhalisia uko wazi..na sio tz tu pote duniani..pesa ndio inarun kila jambo..unafikiri kwa uwekezaji wa man city,Liverpool unaweza ukazishindanisha na arsenal ,chelsea, ya sasa??

Yanga ya manji iliweza kutawala SOKA LA tz vile watakavyo simple kwa ajili ya pesa za manji...hakuna mchezaji waliyemtaka wakamkosa...wachezaji walilipwa kwa wakati na kuishi vizuri..Leo hii hali hiyo imewahama manji hayupo..wachezaji wanasotea chapati maharage then unataka washindane na timu ambayo wachezaji wanalala hotel nzuri..wanalipwa kwa wakati wako free stress na hali za maisha ...

Nakuhakikishia na msimu huu..kama yanga atakuwa na hali mbaya kifedha..sahau ubingwa mzee...kama muelewe utakuwa umenielewa .
 
Mzee...umasikini mbaya....utatafuta kila sababu kujustfy umasikini wa yanga..but uhalisia uko wazi..na sio tz tu pote duniani..pesa ndio inarun kila jambo..unafikiri kwa uwekezaji wa man city,Liverpool unaweza ukazishindanisha na arsenal ,chelsea, ya sasa??

Yanga ya manji iliweza kutawala SOKA LA tz vile watakavyo simple kwa ajili ya pesa za manji...hakuna mchezaji waliyemtaka wakamkosa...wachezaji walilipwa kwa wakati na kuishi vizuri..Leo hii hali hiyo imewahama manji hayupo..wachezaji wanasotea chapati maharage then unataka washindane na timu ambayo wachezaji wanalala hotel nzuri..wanalipwa kwa wakati wako free stress na hali za maisha ...

Nakuhakikishia na msimu huu..kama yanga atakuwa na hali mbaya kifedha..sahau ubingwa mzee...kama muelewe utakuwa umenielewa .

Ok...nayaheshimu mawazo yako...Lakini nami nasema ifuatavyo: wachezaji wa Yanga hawakushindia chapati na maharage huo ni upotoshaji...Mimi nimeongoza mpira kwa ngazi ya juu kabisa nchini ...kwa hiyo nafahammu mazingrra ya soka ya Tanzania...Wachezaji wa Yanga au Simba hata wakiwa na tatizo la kifedha namna gani hawawezi kushindia chapati na maharage...Ni kweli baada ya Manji kuondoka Yanga iliyumba kifedha katika maandalizi ya timu...kama fedha za motisha, mishahara kushindwa kulipwa kwa wakati na kadhalika...lakini wako wapenzi na wanachama ambao walikuwa wanasaidia hapa na pale...Ni kweli kulikuwa na matatizo a fedha za usajili na kadhalika...Hali mbaya iliyokuwa Yanga ndiyo iliyofanya timu ihujumiwe...Mimi binafsi naamini kulikuwa na baadhi ya wachezaji wa Yanga waliokuwa kwenye payroll ya mshabiki/wanachama wa Simba....Pamoja na matatizo hayo Yanga ilibahatika kumpata Zahera aliyewahamasisha wachezaji na kuleta changamoto kubwa kwenye ligi kwa kushinda mechi nyingi mfululizo...Maadui wa Yanga wakashituka wakahujumu kwa nammna mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuweka viporo vingi kwa baadhi ya timu na hivyo kupanga matokeo...Baadhi ya timu zikawa pia zinaahidiwa fedha nyingi ili waifunge Yanga...Pamoja na hayo Yanga ikashika nafasi ya pili...msimu huu Yanga itakuwa bingwa na Zesco pia itatolewa na Yanga kuingia kwenye ligi ya mabingwa ya CAF....Yanga ni maskini?? jibu ni ndiyo, lakini ni umaskini wa kujitakia kwani ina raslimali nyingi...Simba ni tajiri kwa sasa?? Hapana, kwani utajiri wa Simba ni wa mtu mmoja na akiondoka Simba itakuwa back to square one...Kama Simba ni tajiri watueleze huko kwenye akaunti ya Simba kuna kiasi gani na kodi wamelipa kiasi gani kwa mapato yao......
 
Ok...nayaheshimu mawazo yako...Lakini nami nasema ifuatavyo: wachezaji wa Yanga hawakushindia chapati na maharage huo ni upotoshaji...Mimi nimeongoza mpira kwa ngazi ya juu kabisa nchini ...kwa hiyo nafahammu mazingrra ya soka ya Tanzania...Wachezaji wa Yanga au Simba hata wakiwa na tatizo la kifedha namna gani hawawezi kushindia chapati na maharage...Ni kweli baada ya Manji kuondoka Yanga iliyumba kifedha katika maandalizi ya timu...kama fedha za motisha, mishahara kushindwa kulipwa kwa wakati na kadhalika...lakini wako wapenzi na wanachama ambao walikuwa wanasaidia hapa na pale...Ni kweli kulikuwa na matatizo a fedha za usajili na kadhalika...Hali mbaya iliyokuwa Yanga ndiyo iliyofanya timu ihujumiwe...Mimi binafsi naamini kulikuwa na baadhi ya wachezaji wa Yanga waliokuwa kwenye payroll ya mshabiki/wanachama wa Simba....Pamoja na matatizo hayo Yanga ilibahatika kumpata Zahera aliyewahamasisha wachezaji na kuleta changamoto kubwa kwenye ligi kwa kushinda mechi nyingi mfululizo...Maadui wa Yanga wakashituka wakahujumu kwa nammna mbalimbali ikiwa ni pamoja na kuweka viporo vingi kwa baadhi ya timu na hivyo kupanga matokeo...Baadhi ya timu zikawa pia zinaahidiwa fedha nyingi ili waifunge Yanga...Pamoja na hayo Yanga ikashika nafasi ya pili...msimu huu Yanga itakuwa bingwa na Zesco pia itatolewa na Yanga kuingia kwenye ligi ya mabingwa ya CAF....Yanga ni maskini?? jibu ni ndiyo, lakini ni umaskini wa kujitakia kwani ina raslimali nyingi...Simba ni tajiri kwa sasa?? Hapana, kwani utajiri wa Simba ni wa mtu mmoja na akiondoka Simba itakuwa back to square one...Kama Simba ni tajiri watueleze huko kwenye akaunti ya Simba kuna kiasi gani na kodi wamelipa kiasi gani kwa mapato yao......
Nami naheshimu mawazo yako..japo unatia ukakasi kuhusu namna unavyojua SOKA.LA.tz...naposema.kushindia.chapati maharage sina maana ya moja kwa.moja ila.najaribu kufananisha hali ya maisha ya yanga na hali duni ya kiasi hiko.

Kama wachezaji hawapewi motisha then unatarajia hiyo motisha wapewe kutoka wapi?

Wanachama kupitia group za mitandao..pesa zao hazizidi milioni 5 ndio hizi mlikuwa mnawapa wachezaji wenu ili watwae ubingwa waki wenzenu SSC pesa hiyo alikuwa analamba mchezaji mmoja ama wanagawana wachezaji wawili tu.

Pamoja na kocha mzuri mliyenaye but wachezaji hawakuwa na morali hiyo unayojaribu kutuaminiaha hapa.

Kingine for your information mfumo walioingia Simba hata. Akiondoka mo dewji Leo..Simba haitatetereka..simple because akiondoka inamaana anauza hisa zake ..so atakuja bilionea mwingine ..tofauti na yanga ya manji.

Kuhusu CAF..kama.mtanzania..nawaombea mfanye vyema huko ..japo kiuhalisia uwezo wenu nyie wenyewe mnajaua kabisa hamko well kiuchezaji..japo kwemye SOKA.lolote linawezekana..
 
Nami naheshimu mawazo yako..japo unatia ukakasi kuhusu namna unavyojua SOKA.LA.tz...naposema.kushindia.chapati maharage sina maana ya moja kwa.moja ila.najaribu kufananisha hali ya maisha ya yanga na hali duni ya kiasi hiko.

Kama wachezaji hawapewi motisha then unatarajia hiyo motisha wapewe kutoka wapi?

Wanachama kupitia group za mitandao..pesa zao hazizidi milioni 5 ndio hizi mlikuwa mnawapa wachezaji wenu ili watwae ubingwa waki wenzenu SSC pesa hiyo alikuwa analamba mchezaji mmoja ama wanagawana wachezaji wawili tu.

Pamoja na kocha mzuri mliyenaye but wachezaji hawakuwa na morali hiyo unayojaribu kutuaminiaha hapa.

Kingine for your information mfumo walioingia Simba hata. Akiondoka mo dewji Leo..Simba haitatetereka..simple because akiondoka inamaana anauza hisa zake ..so atakuja bilionea mwingine ..tofauti na yanga ya manji.

Kuhusu CAF..kama.mtanzania..nawaombea mfanye vyema huko ..japo kiuhalisia uwezo wenu nyie wenyewe mnajaua kabisa hamko well kiuchezaji..japo kwemye SOKA.lolote linawezekana..

Kuandika kushindia chapati na maharage ina maana hiyo tu haina maana nyingine...kuhusu MO na Simba time will tell
 
Huyu mchezaji alipokuwa Arsenal alijishebedua sana akikataa kusaini mkataba mpya ili aongezewe mpunga , Mzee Wenger hatimaye akasalimu amri na kuamua kumsalimisha kwa Bwana matamaa aitwaye Morinho , ambaye kwa vile hakuwa na uchungu na hela za watu akaamua kumlipa Sanchez mihela ya kufa mtu .

Kwa bahati mbaya kinyongo na laana ya Wenger vikamfuata Alexis kila alipogusa mpira , akaanza kustukiwa na kupigwa benchi , na baada ya Morinho kuondoka hali imekuwa mbaya zaidi , na sasa anatafuta namba kwenye Ndondo cup .

Wenger ana nini lakini , mbona kila mchezaji anayeondoka kwa nyodo anaishia kubaya ?
Mfumo wa arsenal ulimbeba.
 
Back
Top Bottom