mashuka collection
JF-Expert Member
- Apr 10, 2023
- 608
- 1,409
Kuna kampuni wanaitaji lab tech, text whatsap 0699256064..ntakutumia uapply huko, ujaribu bahati yakoHabari wakuu,
Mimi ni kijana wa kiume niliesoma Diploma ya Laboratory technician kutoka chuo cha DIT napatika Dar-es-salaam, natafuta kazi kwenye shule au viwanda mkoa wa wowote nchini.
Asanteni.
Asante mkuuKuna kampuni wanaitaji lab tech, text whatsap 0699256064..ntakutumia uapply huko, ujaribu bahati yako
Popote panapofikika mkuuUnatamani kufanya kazi wap na wap?
Asante mkuu
Aamin Mungu amsaidie!
AminaAamin Mungu amsaidie!