Laban Og apigwe ban ya week kama alivyoomba, haki itendeke

Laban Og apigwe ban ya week kama alivyoomba, haki itendeke

vvvv

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
406
Reaction score
717
Huyu member aliweka uzi hapa jukwaani kwamba akiwa na akili timamu Simba ikifunga apigwe ban ya week.

Naomba apate haki yake hii tabia ya kutoa ahadi tu halafu mods hamtekelezi itaota mizizi humu JF naomba haki itendeke.

Screenshot_2024-03-03-09-54-12-662.jpeg
 
JF imevamiwa sana.

Kuna aina Fulani ya watu wameingia humu hawwutendei haki mtandao no 1 Africa

Shame
 
Wabongo mnafurahisha sana. Mngekuwa mko serious na kwenye mambo ya msingi, basi tungekuwa mbali sana kama Taifa.
 
Huyu yuko level moja na wenzake wengi.
Kumpiga ban ni kumuonea.Kichaa hahukumiwi anapewa usaidizi wa kitaalamu. Tatizo wapo wengi na huduma hazitoshelezi .
 
Ban ainaonyesha hadi Tarehe lakini Tulivyokuwa wapumbavu tunashindwaa hata kusoma.

JF imekuwa ya Aibu sana!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom