Utajua wewe
JF-Expert Member
- Feb 20, 2024
- 928
- 1,836
- Thread starter
-
- #61
Wanaishiwa vichekesho?wengi wa bongo si wachekeshaji ni wafurahishaji tu, na hapo pia kuna siku na siku, kuna movie ukimtizama mkojani utatabasamu na kuna movie unajiuliza ndio yule alinifanya nitabasamu jana..🤔
Tufurahimnapenda kuchekeshwa watu wazima ili iweje
God must be crazy hadi itafswiriwe ndio utacheka? Bila ivyoPia kuna kelvin wa home alone na ile movie ya God must be crazy.
Hapa usipocheka kafanye plastic surgery ya bandama.
Sema ubunifu umepunguaKuna kijana mmoja mbongo nimeona baadhi ya clip, anafanya ile musical, anachekesha kwa njia ya nyimbo anajitahidi sana, sijajua kama ndiyo style yake au amechomekea tu..
🤣🤣Ubuntu bothoComediqn wengi wa kibongo ni kama wanavichekesho vya watoto wadogo, you can’t relate.. na mada zao … pengine wana niche yao wanayo i target
Stand up comedy.
Kat william
Eddie griffin
Bongo
Joti
Majuto
St comedy
Leonardo.
Huyu jamaa anaitwa Steve mweusi anajua sanahuyu ananikosha
View attachment 2958321
Unaonekana unachekesha na kila mtyu ata zembwelaWapi Ringo.
Huwa nikimwangalia tu nacheka
Zamani nilikuwa na cheka sasa sijui nimekuwajeFutuhiiii ndiyo ni futuhiiiiii
Mimi naweza vizuri tyyuWote...hakuna anayeweza kunichekesha
Huwa nacheka nikiamua,sio mtu kunichekesha
NAKAZIAWachekeshaji wengi wa Tanzania hawajui kuchekesha. Angalau hizi skits zimekuja kuwaokoa. Kwenye skits ni hit-or-miss.
Bongo kwenye sanaa ya uigizaji / uchekeshaji hakuna quality bali quantity, tuna watu wengi wanaojiita wachekeshaji kushinda wachekeshaji wenyewe.
Ukifuatilia majukwaa kama Watu Baki, Cheka Tu: mada zao kwa 70% ni ngono. Uchekeshaji wao lazima wahusishe ngono, wanachowasilisha ni kama kimelenga aina fulani ya hadhara: watu wa hovyo.
Amna mkuu mbna wewe umenichekesha?Na stress hizo nani ataweza kukuchekesha mkuu?
Sure hawana content za kuchekesha waoni kuzungumzia mapenzi tuWachekeshaji wengi wa Tanzania hawajui kuchekesha. Angalau hizi skits zimekuja kuwaokoa. Kwenye skits ni hit-or-miss.
Bongo kwenye sanaa ya uigizaji / uchekeshaji hakuna quality bali quantity, tuna watu wengi wanaojiita wachekeshaji kushinda wachekeshaji wenyewe.
Ukifuatilia majukwaa kama Watu Baki, Cheka Tu: mada zao kwa 70% ni ngono. Uchekeshaji wao lazima wahusishe ngono, wanachowasilisha ni kama kimelenga aina fulani ya hadhara: watu wa hovyo.