philantrhopist
JF-Expert Member
- Jun 18, 2023
- 415
- 706
chalie chapli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa na mlinganishaga na mpoki bongochalie chapli
Kaka ngoja nianze kuwafuatilia maana ata kuna watu jf wanachekeshaWatu wanaoweza kunichekesha ni wachekeshaji wa Genre ya Black Comedy tofauti na hapo sicheki naona anaigiza utoto.
Baadhi ya muvi na series za black comedy ni
- The Dictator
- The boys (series)
- You don't mess with the Zohan
- Breaking Bad
- Better Call saul
- Game of thrones
Ndo huyo huyo jamaa hana kipaji cha kuchekesha wala nini nikimuangalia ananipa hasira tu.Huyo anaejiita mbwa
Aisee kama ni huyo kweli tunatofautiana
Kwanza hana maadili kabisa kwa matusi yake na hafai kabisaNdo huyo huyo jamaa hana kipaji cha kuchekesha wala nini nikimuangalia ananipa hasira tu.
Mkuu hujui raha ya "kutekenywa ukatekenyeka"?Kwahy unataka kutekenywa.? Watu mna mambo sana nyie
Proffesor Harmo ni mkali, Kuna kokolo,wale team varshita na hata hubaloo estate.Seriously
Mbona na waangalia
Umewaona kina Professor Hamo lakini
Wote wa Churchill Show ni wakali sana yaani afadhali niwaangalie Kenya kuliko bongoProffesor Harmo ni mkali, Kuna kokolo,wale team varshita na hata hubaloo estate.
Mi Comedy series napenda za kikenya, za wabongo ni Ile mwantumu tu.Wote wa Churchill Show ni wakali sana yaani afadhali niwaangalie Kenya kuliko bongo
Naona wachekeshahi wa bongo ni kwa ajili ya watoto 😄 🤣 maana mtu mzima huwezi kucheka
Kwa kweli hapo wengine sijawaangalia ila ntaanza kuwafuatilia thanksMi Comedy series napenda za kikenya, za wabongo ni Ile mwantumu tu.
Kenya Kuna comedy za varshita, njoro wa uba, hubaloo estate, kibanda Cha mazaga zaga.
Hizo nyingine ni tamthilia nzuri mno, hata hio mwantumu ya kibongo wali Tisha mno.Kwa kweli hapo wengine sijawaangalia ila ntaanza kuwafuatilia thanks
Proffesor Harmo ni mkali, Kuna kokolo,wale team varshita na hata hubaloo estate.
Naanza kufuatilia nikipata mda tuHizo nyingine ni tamthilia nzuri mno, hata hio mwantumu ya kibongo wali Tisha mno.
Ila hizo za kikenya hasa varshita ni VICHAA kabisa wale😂