Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira burudani ambayo inalenga kuondoa chuki ,dont make it too personal najua kakufunga mara nyingiKama Bayern akishinda mechi na kwenda Fainali, ticketi yangu ya Milan naigawa bure, namchukia Guardiola kama nini, sema tu hafikii navyomchukia Benitez.
mkuu hata 1st leg kama uliangalia vizuri AT walimilikiwa sema Bayern hawakua tu na bahatiNi mawazo yko diego simeone anajua ku deal n team zinazomiliki mpira kumbuka atletico sio juve akikutangulia goli mbili mechi imeisha n bayern licha ya kuwa na washambuliaji wakali kule kwny mabeki kuna vuja sana
Mpira burudani ambayo inalenga kuondoa chuki ,dont make it too personal najua kakufunga mara nyingi
You wish!!Ndani ya dakika kumi za kwanza bayern atakuwa amerudisha goli dakika kumi na tano baadae goli la pili kabla ya kwenda half time bayern Munich 3 atletico 0
Haa ngoja tusubir uone mwemyeweme na bet 100%, AT kesho wanatoka
Fainali n madrid derbyKombe haliwezi kwenda Spain kwa mara ya tatu mfululizo bingwa bayern au man City
Mkuu Alianza Arena AT hachomokiVictoire kama Ronaldo atakuwa fit kushiriki mechi zilizobaki basi bingwa ni Real Madrid lakini hao Atletico Madrid ni moto wa kuotea mbali. EURO Cup nitazuka timu yangu ya kwanza ni ya kwa mama I hope yule Jamie Vardy atafanya mavitu yake akishirikiana na wenzie ikifuatiwa na France bado natafuta timu moja ya kushangalia labda nitaongeza Sweden