Mjumbe hebu mwelezee kidogo booster iliopo katika chupa ya Chui lite😂!!! Nina hakika akipewa kadi ya chama lazma atakuwa baloziPombe unakunywa?
Embu jaribu siku utashngaa hata mistari inakotokea😀😀😀
"Ila hips napenda sana.pia mwanamke mstaarabu mpole, mcheshi.asiwe kama hawa ambao nakutana nao kila mara wa kutaka ku spend tu. Nimeshachoka hayo Maisha".Kaka yenu nakuja tena nikiomba msaada. Unajua mazingira niliyozaliwa mimi tulizaliwa wawili tu wote wa kiume. Basi tumekua tukicheza wenyewe mpaka watu wakawa wanadhani mapacha.
Mimi nmeanza shule mpaka namaliza sijawahi fanya sex. Nimeenda chuo ndo nikaanza jambo hilo tena siku za mwanzo ilikuwa shida sana.maana sikuwa hata najua wapi pa kuingiza.
Huwezi amini nikiwa na miaka 30+ ndo nmekuja gundua kuwa mwanamke anapoenda haja ndogo mkojo hautokei kwenye clitoris. Miaka yote najua ile clitoris ndo sehemu ya kutolea mkojo.
Kaka yenu mnaweza ona sometimes najitamba lize. Ila sina lolote kwenye suala la wasichana.nina aibu sana.ni tatizo la toka utotoni.siwezi mtizama msichana machoni hivi tukatizamana.ntaangalia chini.
Jambo hili linanipa woga sana kutongoza. Ninapenda na nina uwezo wa kuwa na msichana mzuri lakini nashindwa jiamini kumtongoza.mpaka msichana mwenyewe awe jasiri aniongoze njia.
Huwa nashindwa kuanza bembeleza msichana.nawaza why should i do that?mbona mi mwenyewe ni handsome?why msichana atake nimbembeleze wakati wote tunahitajiana. Nakosa mistari kabisa.
So namwambia tu. Napenda tuwe wapenzi. Akinambia unajua ninyi wanaume au sijui mbona umekuwa direct sana.nakosa majibu.basi ndo ntanyamaza tu maskini.
Sometimes naweza mwonesha msichana nampenda nikitegemea kama kwenye movies naye aanze nipenda ili siku moja tu nimkiss tuwe wapenzi.nakuta hilo kwa hawa wa bongo inakuwa ngumu.
Kipindi flani niliteseka sana chuo.nakaa na msichana hata miezi tunaenda kula ,kutembea n.k siku zinaenda tu mara msichana anaanza nikwepa nakuta kachukuliwa na jamaa mwingine.
Nimeenda Dodoma nimekaa siku zote naona watoto wakali nashindwa niwaanzaje?na ukichukulia wengi huishia kutaka spend vijicent kidogo navyokuwa navyo.
Nimerudi Dar nakutana na changamoto hizo hizo. Mademu wakali nakutana nao but naanzaje wasemesha? Inaniumiza sana. Naona madogo wengine hawana hata mvuto ila wana drive trailers kali tu za kisasa.mimi daaahh.....nabaki tu mpweke. Sielewi nifanye nini wadogo zangu. Na umri umeenda sana.
Mimi napenda wanawake wenye hips na makalio ya wastan. Ila hips napenda sana.pia mwanamke mstaarabu mpole, mcheshi.asiwe kama hawa ambao nakutana nao kila mara wa kutaka ku spend tu. Nimeshachoka hayo maisha.
Nimekupata mkuu, unasema unaona haibu
kutizamana na msichana usoni unabaki unaangalia chni....je, unapenda wanaume? Au kwa kifupi, ukiongea na mwanamme huoni haibu?
Aisee!!Kusema kweli ni ngumu sana mtu kukufundisha kutongoza. Mi mwenyewe ata sijui kutongoza ila nikikutana na mwanamke nikamuelewa, maneno hua yanakuja hapohapo kulingana na mazingira tuliyopo.
Kitu kimoja kikubwa sana cha msingi pindi unapokutana na demu mpya, mkali, na unataka kuanzisha nae mazungumzo, jitahidi sana USIWE SERIOUS! Jitahidi kuwa kawaida na kuongea nae kawaida kama unavyoongea na wanawake wengine ambao huwataki. Wanawake hua wanaogopa sana mtu ambae yuko serious hasa mwanzoni.
Mfano: Umemuona mdada mzuri kasimama juani na unataka kuongea nae. Badala ya kumfuata na kuanza kumuambia "dada habari yako? samahani naomba kuongea na wewe" wewe mfate kama unamjua vile, mwambie "sasa wewe nawe... ndio umeona usimame hapo juani? si usogee hapa kwenye kivuli?" Wakati unaongea hayo wewe usisimame, unatembea zako kuelekea kwn kivuli. Mara nyingi (sio zote) mdada atakufata. Na hata asipokufata poa tuu acha aendelee kuchomwa na jua we unaenda zako kutulia kwenye kivuli.[emoji6]
Haka kamchezo ukikajua ni raha sana hao viumbe hawatakuja kukusumbua.Aisee!!
Kuwa na amani...mie mkombozi wako nimefika.Misina hips Duuh...nshamkosa [emoji25]
BravoKusema kweli ni ngumu sana mtu kukufundisha kutongoza. Mi mwenyewe ata sijui kutongoza ila nikikutana na mwanamke nikamuelewa, maneno hua yanakuja hapohapo kulingana na mazingira tuliyopo.
Kitu kimoja kikubwa sana cha msingi pindi unapokutana na demu mpya, mkali, na unataka kuanzisha nae mazungumzo, jitahidi sana USIWE SERIOUS! Jitahidi kuwa kawaida na kuongea nae kawaida kama unavyoongea na wanawake wengine ambao huwataki. Wanawake hua wanaogopa sana mtu ambae yuko serious hasa mwanzoni.
Mfano: Umemuona mdada mzuri kasimama juani na unataka kuongea nae. Badala ya kumfuata na kuanza kumuambia "dada habari yako? samahani naomba kuongea na wewe" wewe mfate kama unamjua vile, mwambie "sasa wewe nawe... ndio umeona usimame hapo juani? si usogee hapa kwenye kivuli?" Wakati unaongea hayo wewe usisimame, unatembea zako kuelekea kwn kivuli. Mara nyingi (sio zote) mdada atakufata. Na hata asipokufata poa tuu acha aendelee kuchomwa na jua we unaenda zako kutulia kwenye kivuli.[emoji6]