Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 4,460
- 13,715
Baada ya miaka mingi ndio sasa tunaanza kumuelewa Diddy na janja janja zake.
Wakati wanajua namna pac alivyokuwa analalamika kwa kuwaanganisha bad boys na tukio lake kupigwa ila bado waka toa wimbo wenye maudhui ya violence.
Diddy alitaka apate attention zaidi kwa maswahibu ya Pac bila kujua alikuwa anachochea moto ugomvi ulioleta maafa kwa vijana wadogo wawili waliokuwa maswahiba sana.
Karma is a b**ch
Wakati wanajua namna pac alivyokuwa analalamika kwa kuwaanganisha bad boys na tukio lake kupigwa ila bado waka toa wimbo wenye maudhui ya violence.
Diddy alitaka apate attention zaidi kwa maswahibu ya Pac bila kujua alikuwa anachochea moto ugomvi ulioleta maafa kwa vijana wadogo wawili waliokuwa maswahiba sana.
Karma is a b**ch