K Kwetu Mz Member Joined Aug 20, 2014 Posts 21 Reaction score 3 Sep 22, 2014 #1 Habari za mchana wana JF?Jamani nisaidieni, hii Laboratory Technology ipo vipi ktk ajira?
Y Young Kibaka JF-Expert Member Joined Oct 6, 2012 Posts 319 Reaction score 46 Sep 22, 2014 #2 ajira ipi? mbona sjawahi kuskia hiyo kitu inafanya kazi? wacha upumbavu wewe. ukiambiwa haipo kabisa utafanyaje? hukuchagua kitu unachopenda ulichagua misifa uonekane Mendel
ajira ipi? mbona sjawahi kuskia hiyo kitu inafanya kazi? wacha upumbavu wewe. ukiambiwa haipo kabisa utafanyaje? hukuchagua kitu unachopenda ulichagua misifa uonekane Mendel
geniusbaraka JF-Expert Member Joined Aug 1, 2014 Posts 795 Reaction score 155 Sep 22, 2014 #3 bomba la koz ilo
K Kwetu Mz Member Joined Aug 20, 2014 Posts 21 Reaction score 3 Sep 22, 2014 Thread starter #4 Nashukuru bwana kibaka ila leo mie niita mpumbavu lakini nawe ipo siku watakuita mungu anajua!!