Lacazate 99% to Arsenal

Lacazate 99% to Arsenal

David ornstein wengi nadhani mnajua huwa hatoi taarifa ya uongo mara nyingi habari zake zinakuwa za kweli kwenye page yake amepost kuwa arsenal wanakaribia kumnasa lacazzete kila kitu wameshakubaliana yan klabu na mchezaj bado medical na kusaini tu.mm nimeshafunga mjadala wa lacazzete ni mali yetu huyu tayari namsubiri Thomas Lemar, niwakumbushe ornstein ndie aliyetoa habari za ozil, sanchez, debuchy, xhaka na zote zikawa kweli
1d3830fcdefba5760a21bcbc9626e76d.jpg
Safi, babu na Gazidis waendeleze mapambano, mbona wallet ya [HASHTAG]#Gunners[/HASHTAG] imefura tuu!
 
Back
Top Bottom