kufanakupona
JF-Expert Member
- Jun 18, 2015
- 522
- 421
Mnieleweshe ladha ya nutrient hii ipo hivi,hivi,hivi na hivi.Una maana gani
Nimekusoma mkuu.Ngoja watalam waje.Mnieleweshe ladha ya nutrient hii ipo hivi,hivi,hivi na hivi.
Umenielewa?
Umenifanya nimkumbuke mwalimu wangu wa somo la Chemistry, kwa kutumia zaidi sense mbali Katika utambuzi wa madini na kemikali mbalimbali hasa kunusa na kulamba.Mnieleweshe ladha ya nutrient hii ipo hivi,hivi,hivi na hivi.
Umenielewa?
Walioelewa vizuri chemistry,biology na physics wana raha sana.Maana hayo ndiyo masomo ya asili.Umenifanya nimkumbuke mwalimu wangu wa somo la Chemistry, kwa kutumia zaidi sense mbali Katika utambuzi wa madini na kemikali mbalimbali hasa kunusa na kulamba.