LADIES AND GENTLEMEN:tujikumbushe kidogo siku 60 zilizopita.......

LADIES AND GENTLEMEN:tujikumbushe kidogo siku 60 zilizopita.......

Chrispin (Hommie) and Noname on the 'go'...

No please!
Inanisaidia kurekebisha mapigo ya moyo. Mtu akiniboa nafungua JF fasta then naitafuta avatar yako.
Presha inapanda afu inashuka.... Mapigo ya moyo yanaenda sawa.\
I am in love with your avatar if I must be straight!
hommie hapo kwenye red unaitaji tuition tena? ha ha ha
 
kale ka-mbusi hakajaliwa mbado!......tunatafuta the right place!
halafu baba-askofu huwa husahau kitu?!😀

He he heeee... kusahau nyama?? fanyeni fasta basi maana kwaresma imepita🙂
 
He he heeee... kusahau nyama?? fanyeni fasta basi maana kwaresma imepita🙂
hehehe!msisitizo wako huo,hehehehe!haya bana
nakuona kwenye avata unamtongoza sista
 
hehehe!msisitizo wako huo,hehehehe!haya bana
nakuona kwenye avata unamtongoza sista

Shhhhhhhh!!! Pole pole watakusikia.... upako mwingine na baraka zingine zinatakiwa zitolewe praivetly!!!😀
 
Shhhhhhhh!!! Pole pole watakusikia.... upako mwingine na baraka zingine zinatakiwa zitolewe praivetly!!!😀

HIVO EEH!haya baba askofu....
NOTED WITH MANY THANKS
 
Be mwagito Geoff, pe ulibaha. Picha zangu zinazofanana na hizo zitawajia hapo baadaye lakini kwa mapenzi ya Mungu. Ngoja tusububiri.
 
Be mwagito Geoff, pe ulibaha. Picha zangu zinazofanana na hizo zitawajia hapo baadaye lakini kwa mapenzi ya Mungu. Ngoja tusububiri.
NOTED HOMUBOI!with many thanks hahahaha
 
kisa kinaendelea........!
HEDEEEE HEDEEE HEDEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE
attachment.php
mdada katinga na ledha jaketi ndani ya bongo.SI MCHEZO!.
beki to ze topik: hongera sana mkuu geoff .(welkom to gerezani a.k.a ndoa), sasa huna haja ya kufanya diet mwamba ,ukipenda uspende utaluzi weiti tu.
 
Binamu hii ndio nyama choma uliyotuahidi kipindi kile uko honey moon

sawa kabisa ..michango inapitishwa??
NB.klorokwini nilikumiss sana
 
Binamu hii ndio nyama choma uliyotuahidi kipindi kile uko honey moon

sawa kabisa ..michango inapitishwa??
NB.klorokwini nilikumiss sana

hehehe same here, ilikuwa nikuPM lakini nikamuogopaga rais!
 
HOME sweet home!!!! Geoff ulichezewa ule wimbo unaitwa 'kina kinage eeh dena eeh dena eeh dena' haukosi kwenye harusi zote za kibena(utanisamehe kama nimekosea kibena kimetoka kidogo)
Hongera kwa kuianza safari vyema so far!! Utanage hukwida umuhindza wa vene beh!
 
Aisee Geoff, mbona ulikaa upande wa kushoto wa bi harusi? Bestman na matron hawakuwaelekeza vizuri? 😀
attachment.php
 
natamani nirushe na hizi ninazoziangalia usiku huu!....lakini naogopa
 
Back
Top Bottom