Ladies and Gentlemen tukumbushane na hili

Ladies and Gentlemen tukumbushane na hili

Manyanza

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2010
Posts
16,464
Reaction score
35,629
Wakati mwanamke ana umri wa chini ya miaka 24, uwezekano wa kuolewa ni zaidi ya salimia 75%.

Wakati mwanamke ana umri wa kati ya miaka 25 na 29, uwezekano wa kuolewa ni asilimia 50%.

Wakati mwanamke ana umri wa miaka 30, uwezekano wa kuolewa ni asilimia 25%.

Lakini

Wakati mwanaume ana umri wa chini ya miaka 25, uwezekano wa kuoa ni chini ya asilimia 25%,

Wakati mwanaume ana umri wa miaka 25 hadi 29, Uwezekano wa kuoa ni asilimia 60%.

Wakati mwanaume ana umri wa zaidi ya miaka 30 uwezekano wa kuoa ni zaidi ya asilimia 80%.

Ni lini wanawake mtalitambua hili ? Ninawahurumia wanawake wanapoteza ujana wao bure hasa wakidate na lile kundi la wanaume wenye asilimia chache sana za kuoa

kumbuka,
Mwanaume ni kama divai unavyozidi kunywa ndivyo inavyozidi utamu

Mwanamake ni kama maziwa unavyozidi kunywa ndivyo yanavyo kukinai
 
Ivi alisema kuoa na kuolewa ni LAZIMA nan??? Mbona kama watu mnaeeka ulazima wa hili swala? Kuna Sheria inamfunga mtu asiyeolewa? Au nin Cha zaid
 
Ivi alisema kuoa na kuolewa ni LAZIMA nan??? Mbona kama watu mnaeeka ulazima wa hili swala? Kuna Sheria inamfunga mtu asiyeolewa? Au nin Cha zaid
BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
 
Uhakika ....... sema wakiwa hot cake wanatuona sie mafala sana. Nilikuwa na pewa story na mzeee miaka 57 kwa sasa anasema anakioto cha miaka22 anakula na kamemganda mbaya zaidi kanakataa hadi wachumba zaidi ya yote kamemganda mzee huyu kamzalie mtoto na yeye hataki mtoto anataka akakwepe kwa kurithibitisha hilo akanionyesha msg.Kwanza huyu ndigi namjua ni HIV+ wa siku nyingi sana zaidi ya miaka13 mke wake alikufa 2009 na ngoma!

Sikuwa na ushauri zaidi ya kumwambia dingi huyoo mtoto kautaka piga piga akili ikimjia atakuacha mwenyewe tu!
 
Uhakika ....... sema wakiwa hot cake wanatuona sie mafala sana. Nilikuwa na pewa story na mzeee miaka 57 kwa sasa anasema anakioto cha miaka22 anakula na kamemganda mbaya zaidi kanakataa hadi wachumba zaidi ya yote kamemganda mzee huyu kamzalie mtoto na yeye hataki mtoto anataka akakwepe kwa kurithibitisha hilo akanionyesha msg.Kwanza huyu ndigi namjua ni HIV+ wa siku nyingi sana zaidi ya miaka13 mke wake alikufa 2009 na ngoma!

Sikuwa na ushauri zaidi ya kumwambia dingi huyoo mtoto kautaka piga piga akili ikimjia atakuacha mwenyewe tu!
 
Back
Top Bottom