Ladies be honest!

Ladies be honest!

mbweta

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2010
Posts
600
Reaction score
81
Kila nikiona post ya m2 anatafuta mchumba nakimbilia jinsia nakuta ni wanaume kwa wasichana nadra sana. Je wakina dada ikitokea umempenda m2 kwel waweza mwambia direct?
 
mbweta nimekupenda jaman....unasemaje sasa?
1.m bad n gud gal smtimes i promis u to take care of u n our kids as well
2.i promise u to b wise wife n good mother two
3.we wl rise our family in godlish way


PLS NAOMBA UNIKUBALIE OMBI LANGU....jana nilipata maono na nikaonyeshwa wewe ndye u mume wangu so pls dnt say noooo pls n pl abeg.....
shera ntanunua mwenyewe usihofu.......!
 
Kila nikiona post ya m2 anatafuta mchumba nakimbilia jinsia nakuta ni wanaume kwa wasichana nadra sana. Je wakina dada ikitokea umempenda m2 kwel waweza mwambia direct?
sio rahis kwa mdada kumwambia mkaka kuwa anampenda labda mishipa ya aibu iwe ilishaathirika. kingine aliepewa mamlaka ya kuomba uchumba na mungu ninadhani ni mwanaume
 
sio rahis kwa mdada kumwambia mkaka kuwa anampenda labda mishipa ya aibu iwe ilishaathirika. kingine aliepewa mamlaka ya kuomba uchumba na mungu ninadhani ni mwanaume

ahh maty unataka kusemaje sasa?
una nia ya kuntusi ?
uoni apo juu mwenzio nimemwomba uchumba sasa wee tena unataka kuharibu...ndo nakula kula kucha apa namsubiri anijibu....
 
mbweta nimekupenda jaman....unasemaje sasa?
1.m bad n gud gal smtimes i promis u to take care of u n our kids as well
2.i promise u to b wise wife n good mother two
3.we wl rise our family in godlish way


PLS NAOMBA UNIKUBALIE OMBI LANGU....jana nilipata maono na nikaonyeshwa wewe ndye u mume wangu so pls dnt say noooo pls n pl abeg.....
shera ntanunua mwenyewe usihofu.......!

hahaha rose bana, haya mbweta kifaa hicho
 
mbweta nimekupenda jaman....unasemaje sasa?
1.m bad n gud gal smtimes i promis u to take care of u n our kids as well
2.i promise u to b wise wife n good mother two
3.we wl rise our family in godlish way


PLS NAOMBA UNIKUBALIE OMBI LANGU....jana nilipata maono na nikaonyeshwa wewe ndye u mume wangu so pls dnt say noooo pls n pl abeg.....
shera ntanunua mwenyewe usihofu.......!

aaah we umezidisha unamwambia simple tu jaman sio uanze kumfukuzia kitaa na mineno ming ivo
 
aaah we umezidisha unamwambia simple tu jaman sio uanze kumfukuzia kitaa na mineno ming ivo

mbona km unajitoa?

thats msg is yrs pls m watng 4jibu
pls naomba nikubalie mbweta...
 
sio rahis kwa mdada kumwambia mkaka kuwa anampenda labda mishipa ya aibu iwe ilishaathirika. kingine aliepewa mamlaka ya kuomba uchumba na mungu ninadhani ni mwanaume

Ubaya wa kusubiri m2 aje hakufwate smty anaweza kuja ambaye humtaki au unamkubali tu kwasababu chaguo lako haliji.
 
mbona km unajitoa?

thats msg is yrs pls m watng 4jibu
pls naomba nikubalie mbweta...

Rose if u where boy usinge pata m2 anasema am bad and gud so me ntake average
 
hahaha rose bana, haya mbweta kifaa hicho

ye asi kataka tuwe honest bas ndo ivo km ajawai kutongozwa mi nimemtokea front namsikilia anasemaje...hah hahha hahaa!
lakin naona anajifanya msg ni ya mtu mwngne na nimemwambia thats yrs nasubiri jibu sa sjui kaenda kuuliza kwanza marafik zake ..washkaji kuna demu kantokea nakwambia uso mkavu km mbuzi ....haha haha mi sjali nataka jibu tu na ole wake aniktae nakwambia naenda kumsemea kwa babu tutamtengeneza mshipa..:love::love::love:!

maty ukisoma futa mwwaya mwenyewe asiione..:yield:
 
Kila nikiona post ya m2 anatafuta mchumba nakimbilia jinsia nakuta ni wanaume kwa wasichana nadra sana. Je wakina dada ikitokea umempenda m2 kwel waweza mwambia direct?

ukiona hivyo hatujapenda, tukipenda tutasema.
hawa wachumba wa mitandaoni hawa......mmmh!
 
hahaha rose bana, haya mbweta kifaa hicho

aah nimeanza ogopa ni sawa ukamtongoza mwanamke hapo hapo akakubali lazima ushangae utajua anakukejeli
 
ye asi kataka tuwe honest bas ndo ivo km ajawai kutongozwa mi nimemtokea front namsikilia anasemaje...hah hahha hahaa!
lakin naona anajifanya msg ni ya mtu mwngne na nimemwambia thats yrs nasubiri jibu sa sjui kaenda kuuliza kwanza marafik zake ..washkaji kuna demu kantokea nakwambia uso mkavu km mbuzi ....haha haha mi sjali nataka jibu tu na ole wake aniktae nakwambia naenda kumsemea kwa babu tutamtengeneza mshipa..:love::love::love:!

maty ukisoma futa mwwaya mwenyewe asiione..:yield:

Maty hajafuta nimeiona. Bora weye umenitokea live mana wengine ni kelo njia wanazotumia, hata kama ulikuwa unampenda atakuchefua. Ukiwa uswaz utatingishiwa mpaka ukome ila wat 4? Angesema ingekuwa poa.
 
aah nimeanza ogopa ni sawa ukamtongoza mwanamke hapo hapo akakubali lazima ushangae utajua anakukejeli

unaogopa nini wew?
kubali tufanye maisha ...A -Z nshakupa sasa unambwelmbwela nin bwna?
we ulitaka wasichana wawe wanaaproach pia sasa ivi unageuza kibao et unaona km anakukejeli...

minimekwambia tufanye mambo ya maisha sjakwambia tukafanye mchezo mbaya ...NKUBALI BASI JAMAN WEWE MWEEEEEEE ntajichinja mieee ohho ohooo!!!!
 
Maty hajafuta nimeiona. Bora weye umenitokea live mana wengine ni kelo njia wanazotumia, hata kama ulikuwa unampenda atakuchefua. Ukiwa uswaz utatingishiwa mpaka ukome ila wat 4? Angesema ingekuwa poa.

ehh umeiona enhh bas pole mdg wangu aliandika wasnt me..:love::love:

mi ntakukonyeza tu mpk utakubali na siku tukikutana ntakutikia mgongo cz nyma nimepgwa pas sna ata cha kutikisa jaman na i shepu yangu ya konyagi juu mkubwa chn mdg...nikubali bas wewe!!!!!!
 
ehh umeiona enhh bas pole mdg wangu aliandika wasnt me..:love::love:

mi ntakukonyeza tu mpk utakubali na siku tukikutana ntakutikia mgongo cz nyma nimepgwa pas sna ata cha kutikisa jaman na i shepu yangu ya konyagi juu mkubwa chn mdg...nikubali bas wewe!!!!!!

aah aah shepu kama simba dume mie ctaki
 
Katengeneze kwanza jamani mana yaweza goma kuja ujue
 
Katengeneze kwanza jamani mana yaweza goma kuja ujue
nipe mwongozo sasa unataka shepu ip

namba 8 au6 vyovyote vle mi ntatengeneza...m ready 4anythng beb we sema tu mintatenda!!!!:love:
 
Inategemea na mwanaume na kiasi gani nimemzoea,mi naweza mwambia kwani hata akinikataa ndo nitaacha kupumua??? kuliko kupoteza muda na resources ukimfanyia kila aina ya njia akuelewe na bado awe hakufeel bora umwambie akupe ukweli maisha yaendelee.....huh!
Kumwambia anioe ndo tabu,ila kwamba nampenda hakuna neno kabisaaaa!
 
Back
Top Bottom