Unajielewa sana mrsleo, walee wanao ktk mtazamo huo.mmmh yani huu uzi umenishangaza, na mawazo kama haya ndo yameleta wanaume marioo, wasiotaka kufanya kazi ndio mana wadada wengi dunia ya leo unakuta mtu anajitolea hadi mahari aolewe, mwingine anaishi na mwanume lakini mwanaume hela yake ni pombe na wanawake hajui kodi ya nyumba wala watoto wanakula nini, huwa najiuliza mtu anawezaje kuishi na mwanaume wa namna hii, ila sasa nimeanza kupata majibu. Tunasahau kwamba kiasili mwanaume ameumbwa kutafuta, mimi kazi yangu kuzaa na kutunza familia, kuchangia kwangu ni ziada tu so mimi kama mwanamke kuwa nacho au kutokuwa nacho haitakiwi kuwa sababu kabisa kwenye mahusiano, na kiukweli naishukuru hiyo mentality manake mimi mwanaume ambae hana kitu nilikuwa simtaki, na nimeolewa na aina ya mwanaume nilikuwa namtaka na kaka wa watu wala hajui hata mshahara wangu na huwa haulizi, sio kama sichangii chochote lakini nachangia kwa kupenda kwangu vile nnavyojisikia. Mama zetu waliolewa enzi hizo na wanaume wenye pesa au hata wenye maisha ya kawaida tu wao wakiwa hawajasoma wala hawana kazi, auunakuta ana kazi lakini akiolewa tu anaambiwa acha kazi na waliishi maisha mazuri sana, mana the purpose was clear kazi ya mwanaume na mwanamke ilikuwa very clear kwenye ndoa, lakini wanawake wa sasa mnayakaribisha matatizo wenyewe, eti mkatafute wote kheeeeeeeeeee
Unamtishia kuzaa sio?Tutaannzia hapohapo. Contributions zangu ni nyingi ntazaa ntalea watoto ntafua yani all kind of staff ndani ntafanya. Nadhani anahitaji zaidi hili kuliko mali alizonazo maana kuzaa hawezi bila mwanamke.
NakubaliMarriage is never about what you can get, it's always about what you can give[add value].
Bonge la mchango wa kifikrammmh yani huu uzi umenishangaza, na mawazo kama haya ndo yameleta wanaume marioo, wasiotaka kufanya kazi ndio mana wadada wengi dunia ya leo unakuta mtu anajitolea hadi mahari aolewe, mwingine anaishi na mwanume lakini mwanaume hela yake ni pombe na wanawake hajui kodi ya nyumba wala watoto wanakula nini, huwa najiuliza mtu anawezaje kuishi na mwanaume wa namna hii, ila sasa nimeanza kupata majibu. Tunasahau kwamba kiasili mwanaume ameumbwa kutafuta, mimi kazi yangu kuzaa na kutunza familia, kuchangia kwangu ni ziada tu so mimi kama mwanamke kuwa nacho au kutokuwa nacho haitakiwi kuwa sababu kabisa kwenye mahusiano, na kiukweli naishukuru hiyo mentality manake mimi mwanaume ambae hana kitu nilikuwa simtaki, na nimeolewa na aina ya mwanaume nilikuwa namtaka na kaka wa watu wala hajui hata mshahara wangu na huwa haulizi, sio kama sichangii chochote lakini nachangia kwa kupenda kwangu vile nnavyojisikia. Mama zetu waliolewa enzi hizo na wanaume wenye pesa au hata wenye maisha ya kawaida tu wao wakiwa hawajasoma wala hawana kazi, auunakuta ana kazi lakini akiolewa tu anaambiwa acha kazi na waliishi maisha mazuri sana, mana the purpose was clear kazi ya mwanaume na mwanamke ilikuwa very clear kwenye ndoa, lakini wanawake wa sasa mnayakaribisha matatizo wenyewe, eti mkatafute wote kheeeeeeeeeee
A guy unamkuta ana nyumba, ana usafiri, ana biashara yake na kazi yenye kipato kizuri. All of this umekuta ameaccomplish mwenyewe bila ya wewe.
Then unakuwa attracted na this type of a guy na kumpa all of your attention na moyo ili muwe pamoja. But the problem inakuja kwenye swala moja?!
Unakwenda kuchangia nini katika maisha yake zaidi ya kutaka kutumia nae alichotafuta?!
If he in all well and good and you are broke as broke. Nambie hapa unakwenda kutoa what type of contribution ili tuite umekwenda fanya maisha na huyu brother?!
Ladies can I hear from you about this, guys you too can contribute.
On my side sijawahi kutamani that time of start katika mahusiano. The good thing nimeona thamani ya kuanza pamoja na hata hapa nilipofikia nashukuru sana MUNGU naona tofauti ya kuishi na mwanaume na kuwa na mwanaume.
Huko walipokufundisha kuwa mwanaume ni kutafuta, walikwambia sehemu gani wanatoa ajira kisha vijana hawataki kwenda au?!mmmh yani huu uzi umenishangaza, na mawazo kama haya ndo yameleta wanaume marioo, wasiotaka kufanya kazi ndio mana wadada wengi dunia ya leo unakuta mtu anajitolea hadi mahari aolewe, mwingine anaishi na mwanume lakini mwanaume hela yake ni pombe na wanawake hajui kodi ya nyumba wala watoto wanakula nini, huwa najiuliza mtu anawezaje kuishi na mwanaume wa namna hii, ila sasa nimeanza kupata majibu. Tunasahau kwamba kiasili mwanaume ameumbwa kutafuta, mimi kazi yangu kuzaa na kutunza familia, kuchangia kwangu ni ziada tu so mimi kama mwanamke kuwa nacho au kutokuwa nacho haitakiwi kuwa sababu kabisa kwenye mahusiano, na kiukweli naishukuru hiyo mentality manake mimi mwanaume ambae hana kitu nilikuwa simtaki, na nimeolewa na aina ya mwanaume nilikuwa namtaka na kaka wa watu wala hajui hata mshahara wangu na huwa haulizi, sio kama sichangii chochote lakini nachangia kwa kupenda kwangu vile nnavyojisikia. Mama zetu waliolewa enzi hizo na wanaume wenye pesa au hata wenye maisha ya kawaida tu wao wakiwa hawajasoma wala hawana kazi, auunakuta ana kazi lakini akiolewa tu anaambiwa acha kazi na waliishi maisha mazuri sana, mana the purpose was clear kazi ya mwanaume na mwanamke ilikuwa very clear kwenye ndoa, lakini wanawake wa sasa mnayakaribisha matatizo wenyewe, eti mkatafute wote kheeeeeeeeeee
Kuna ukweli ulichosema na nilichosema kina ukweli pia.Usikariri sisi hua akili zetu tunazijua wenyewe
Amini. Kwamba Nina kila kitu na uchumi mzuri naweza kukutongoza kwa ajili ya kukutumia pia sio kwamba you are the one I want ..of course ni kweli nakuhitaji ktk matumizi [emoji23]
Halafu sikufichi huu ni ukweli Mara nyingi hawa member wa jinsia yangu tukikamilika ktk kila kitu namaanisha tumejijenga vizuri kiuchumi tuko vzr halafu tumeanza wenyewe from the scratch... huwa mwanamke hatubabsishi so lazima ego,..disrespect iwepo kama Dada Carlen alivyosema hapo juu maana tunakuwa na ile mentality
Kila anaetupenda ni mwindaji hana lolote
Na huo ndo ukwel mchungu .bora kutafuta MTU wa level yako
Hata nisipozaa atatafuta wa kuzaa nae au mnaazaga wenyewe mkuu.Unamtishia kuzaa sio?
kuna kitu lazima nita Add tuu yani mpka ananioa there must be a thing ambayo ameiona achilia mbali kuadd material thingUmejibu kisiasa mkuu. Kama hajatulia utakuta kashazaa na wenzio, kufua atakuwa na mashine, kupika atakuwa na house helper. Wewe utakwenda ku add values gani kwenye maisha yake?. Remember kuna a lot of human beings, but not valuable ones.
Ni kweli life is not fairKwa hiyo wa chini tutafutane wenyewe, wa juu waendelee kivyao. Mbona maisha hayana fairness kiasi hicho.
Huyo mwanamke ni apeche alolo hana chochote?.Umejibu kisiasa mkuu. Kama hajatulia utakuta kashazaa na wenzio, kufua atakuwa na mashine, kupika atakuwa na house helper. Wewe utakwenda ku add values gani kwenye maisha yake?. Remember kuna a lot of human beings, but not valuable ones.
That's my babe,Kikubwa kupendana tu haijalishi ana mali au hana mali. Unasema naenda kucontribute nini? Yeye hadi anakuja kunitaka atakuwa anahitaji nini? Mpaka akataka mahusiano basi kuna kitu ameona kinapungua katika maisha yake, hicho ndio nitakachocontribute
Unakuwa umesogezwa karibu na malaika mtoa roho [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Usikariri sisi hua akili zetu tunazijua wenyewe
Amini. Kwamba Nina kila kitu na uchumi mzuri naweza kukutongoza kwa ajili ya kukutumia pia sio kwamba you are the one I want ..of course ni kweli nakuhitaji ktk matumizi [emoji23]
Halafu sikufichi huu ni ukweli Mara nyingi hawa member wa jinsia yangu tukikamilika ktk kila kitu namaanisha tumejijenga vizuri kiuchumi tuko vzr halafu tumeanza wenyewe from the scratch... huwa mwanamke hatubabsishi so lazima ego,..disrespect iwepo kama Dada Carlen alivyosema hapo juu maana tunakuwa na ile mentality
Kila anaetupenda ni mwindaji hana lolote
Na huo ndo ukwel mchungu .bora kutafuta MTU wa level yako
Mkuu umesem ukweli mtupu lkn unaumaWanawake wengi wa kuanzia nao chini wanakua na sura Na shape za baba zao. Hawa ndio wanakua na akili za kutafuta maana wanajijua hawana uzuri wa kuhongwa so njia pekee ya kutoka kimaisha ni kutumia akili na kupambana.
Oooh asante karembo kwa mchango muruaKikubwa kupendana tu haijalishi ana mali au hana mali. Unasema naenda kucontribute nini? Yeye hadi anakuja kunitaka atakuwa anahitaji nini? Mpaka akataka mahusiano basi kuna kitu ameona kinapungua katika maisha yake, hicho ndio nitakachocontribute
Hivi mwanaume anapotafuta mwanamke...Kipato cha mwanamke ndo kinatakiwa kuangaliwa...Exactly . Realistically kama kweli mwanamme anazo hela na mali za kueleweka, kwanini aende kutafuta broke b*tch? Aidha atatafuta anaelingana nae au ambae at least ana juhudi fulani katika maisha.
Exception pekee ambayo naweza kufikiria ni ma Trophy Wife. Wanataka arm candy, kitu cha kuringishia wengine. Au labda mwanamme ana pesa lakini sura na shepu no mbovu mbovu so atahakikisha mwanamke ampatae ni 100% model type ili angalau watoto wawe na chance kuwa na sura zinazoeleweka.
Beauty is currency.
Mfano Trump na Melania. Trump was rich, Melania ni masikini from eastern europe hata kiingereza kinampiga chenga. Trump mbegu yako ni mbaya hata as a self proclaimed billionaire ona mitoto yake. Thank goodness for plastic surgery hao mabinti wamepona kidogo. Watoto wote wamezaliwa na ma model type.....
View attachment 1605255
View attachment 1605261
View attachment 1605262
Kwaiyo mwanamke kuadd value kwa mwanaume anatakiwa Aweke nayeye mamilion mezani?..hapo ndo ataonekana wathamani?.Umejibu kisiasa mkuu. Kama hajatulia utakuta kashazaa na wenzio, kufua atakuwa na mashine, kupika atakuwa na house helper. Wewe utakwenda ku add values gani kwenye maisha yake?. Remember kuna a lot of human beings, but not valuable ones.