Ladies, let’s do the real talk...

Ladies, let’s do the real talk...

Naona tu mnavyodanganyana, mahusiano hayana formula mtu aliekutana nae Anna nitofauti aliekutana nae Amina, watu hutofautiana kwa mashauri yenu mtadanganyana na wengine mtawakimbia wachumba wenu ambae Mungu amewapangia,
 
mmmh yani huu uzi umenishangaza, na mawazo kama haya ndo yameleta wanaume marioo, wasiotaka kufanya kazi ndio mana wadada wengi dunia ya leo unakuta mtu anajitolea hadi mahari aolewe, mwingine anaishi na mwanume lakini mwanaume hela yake ni pombe na wanawake hajui kodi ya nyumba wala watoto wanakula nini, huwa najiuliza mtu anawezaje kuishi na mwanaume wa namna hii, ila sasa nimeanza kupata majibu. Tunasahau kwamba kiasili mwanaume ameumbwa kutafuta, mimi kazi yangu kuzaa na kutunza familia, kuchangia kwangu ni ziada tu so mimi kama mwanamke kuwa nacho au kutokuwa nacho haitakiwi kuwa sababu kabisa kwenye mahusiano, na kiukweli naishukuru hiyo mentality manake mimi mwanaume ambae hana kitu nilikuwa simtaki, na nimeolewa na aina ya mwanaume nilikuwa namtaka na kaka wa watu wala hajui hata mshahara wangu na huwa haulizi, sio kama sichangii chochote lakini nachangia kwa kupenda kwangu vile nnavyojisikia. Mama zetu waliolewa enzi hizo na wanaume wenye pesa au hata wenye maisha ya kawaida tu wao wakiwa hawajasoma wala hawana kazi, auunakuta ana kazi lakini akiolewa tu anaambiwa acha kazi na waliishi maisha mazuri sana, mana the purpose was clear kazi ya mwanaume na mwanamke ilikuwa very clear kwenye ndoa, lakini wanawake wa sasa mnayakaribisha matatizo wenyewe, eti mkatafute wote kheeeeeeeeeee
Unajielewa sana mrsleo, walee wanao ktk mtazamo huo.

Ni kweli kabisa wanawake ndo wamesababisha jamii yetu kuwa na wanaume marioo
 
Tutaannzia hapohapo. Contributions zangu ni nyingi ntazaa ntalea watoto ntafua yani all kind of staff ndani ntafanya. Nadhani anahitaji zaidi hili kuliko mali alizonazo maana kuzaa hawezi bila mwanamke.
Unamtishia kuzaa sio?
 
mmmh yani huu uzi umenishangaza, na mawazo kama haya ndo yameleta wanaume marioo, wasiotaka kufanya kazi ndio mana wadada wengi dunia ya leo unakuta mtu anajitolea hadi mahari aolewe, mwingine anaishi na mwanume lakini mwanaume hela yake ni pombe na wanawake hajui kodi ya nyumba wala watoto wanakula nini, huwa najiuliza mtu anawezaje kuishi na mwanaume wa namna hii, ila sasa nimeanza kupata majibu. Tunasahau kwamba kiasili mwanaume ameumbwa kutafuta, mimi kazi yangu kuzaa na kutunza familia, kuchangia kwangu ni ziada tu so mimi kama mwanamke kuwa nacho au kutokuwa nacho haitakiwi kuwa sababu kabisa kwenye mahusiano, na kiukweli naishukuru hiyo mentality manake mimi mwanaume ambae hana kitu nilikuwa simtaki, na nimeolewa na aina ya mwanaume nilikuwa namtaka na kaka wa watu wala hajui hata mshahara wangu na huwa haulizi, sio kama sichangii chochote lakini nachangia kwa kupenda kwangu vile nnavyojisikia. Mama zetu waliolewa enzi hizo na wanaume wenye pesa au hata wenye maisha ya kawaida tu wao wakiwa hawajasoma wala hawana kazi, auunakuta ana kazi lakini akiolewa tu anaambiwa acha kazi na waliishi maisha mazuri sana, mana the purpose was clear kazi ya mwanaume na mwanamke ilikuwa very clear kwenye ndoa, lakini wanawake wa sasa mnayakaribisha matatizo wenyewe, eti mkatafute wote kheeeeeeeeeee
Bonge la mchango wa kifikra
 
A guy unamkuta ana nyumba, ana usafiri, ana biashara yake na kazi yenye kipato kizuri. All of this umekuta ameaccomplish mwenyewe bila ya wewe.

Then unakuwa attracted na this type of a guy na kumpa all of your attention na moyo ili muwe pamoja. But the problem inakuja kwenye swala moja?!

Unakwenda kuchangia nini katika maisha yake zaidi ya kutaka kutumia nae alichotafuta?!

If he in all well and good and you are broke as broke. Nambie hapa unakwenda kutoa what type of contribution ili tuite umekwenda fanya maisha na huyu brother?!

Ladies can I hear from you about this, guys you too can contribute.

On my side sijawahi kutamani that time of start katika mahusiano. The good thing nimeona thamani ya kuanza pamoja na hata hapa nilipofikia nashukuru sana MUNGU naona tofauti ya kuishi na mwanaume na kuwa na mwanaume.

Acha utani wewe mwanamke kuhudumiwa wacha jamaa atafute wee uje utumie. Au wee huoni kuwa nawe utachangia kwa kumzalia na kugegedwa?
 
mmmh yani huu uzi umenishangaza, na mawazo kama haya ndo yameleta wanaume marioo, wasiotaka kufanya kazi ndio mana wadada wengi dunia ya leo unakuta mtu anajitolea hadi mahari aolewe, mwingine anaishi na mwanume lakini mwanaume hela yake ni pombe na wanawake hajui kodi ya nyumba wala watoto wanakula nini, huwa najiuliza mtu anawezaje kuishi na mwanaume wa namna hii, ila sasa nimeanza kupata majibu. Tunasahau kwamba kiasili mwanaume ameumbwa kutafuta, mimi kazi yangu kuzaa na kutunza familia, kuchangia kwangu ni ziada tu so mimi kama mwanamke kuwa nacho au kutokuwa nacho haitakiwi kuwa sababu kabisa kwenye mahusiano, na kiukweli naishukuru hiyo mentality manake mimi mwanaume ambae hana kitu nilikuwa simtaki, na nimeolewa na aina ya mwanaume nilikuwa namtaka na kaka wa watu wala hajui hata mshahara wangu na huwa haulizi, sio kama sichangii chochote lakini nachangia kwa kupenda kwangu vile nnavyojisikia. Mama zetu waliolewa enzi hizo na wanaume wenye pesa au hata wenye maisha ya kawaida tu wao wakiwa hawajasoma wala hawana kazi, auunakuta ana kazi lakini akiolewa tu anaambiwa acha kazi na waliishi maisha mazuri sana, mana the purpose was clear kazi ya mwanaume na mwanamke ilikuwa very clear kwenye ndoa, lakini wanawake wa sasa mnayakaribisha matatizo wenyewe, eti mkatafute wote kheeeeeeeeeee
Huko walipokufundisha kuwa mwanaume ni kutafuta, walikwambia sehemu gani wanatoa ajira kisha vijana hawataki kwenda au?!

Na ndipo walikufundisha kudanga ndio kisingizio mnatumia siku hizi kuchagua wanaume wenye kipato na wasionacho....?!

Huo ni uamasikini wa fikra tu. Wanaume na wanawake kimtazamo wa imani ni Kiongozi na msaidizi. Katika mfumo wa kiuchumi ni mapartner wawili (wabia), kijamii ni wanandoa na wandani, kisiasa ni nguzo na msingi wa taasisi mama ya taifa nayo ni familia kabla ya zote.

Kumsaidia mwanaume kujijenga kiuchumi si jambo baya na si la miaka yote ni la muda kipindi mnaanza. Sema tu watoto wa kike wa siku hizi hamna misingi mizuri.... Wengi wenu mnataka utelezi na ni wavivu mno mnasurvive kwa hela za kudanga na kuomba omba na vikazi kidogo mkifanya hapa na pale..... Ila haijakaa sawa kabisa...
 
Usikariri sisi hua akili zetu tunazijua wenyewe

Amini. Kwamba Nina kila kitu na uchumi mzuri naweza kukutongoza kwa ajili ya kukutumia pia sio kwamba you are the one I want ..of course ni kweli nakuhitaji ktk matumizi [emoji23]


Halafu sikufichi huu ni ukweli Mara nyingi hawa member wa jinsia yangu tukikamilika ktk kila kitu namaanisha tumejijenga vizuri kiuchumi tuko vzr halafu tumeanza wenyewe from the scratch... huwa mwanamke hatubabsishi so lazima ego,..disrespect iwepo kama Dada Carlen alivyosema hapo juu maana tunakuwa na ile mentality

Kila anaetupenda ni mwindaji hana lolote



Na huo ndo ukwel mchungu .bora kutafuta MTU wa level yako
Kuna ukweli ulichosema na nilichosema kina ukweli pia.
Kuna wengine wanakuwa na mali wanakuwa na viburi na kutaka kuonesha kuwa hawatawaliki. Kuna wengine wanatulia , si limbukeni, wanataka someone to spend their life with.

Possibilities ziko nyingi.
Cha msingi I still stand by what I say, kuanza from scratch pamoja can be overrated sababu nimeshuhudia wengi wanaanza from scratch lakini pensheni ikifika Baba mtu anachukua Pesa anakimbia Ku spend na watu wa nje . The return on investment is low for most women in this society.
 
Umejibu kisiasa mkuu. Kama hajatulia utakuta kashazaa na wenzio, kufua atakuwa na mashine, kupika atakuwa na house helper. Wewe utakwenda ku add values gani kwenye maisha yake?. Remember kuna a lot of human beings, but not valuable ones.
kuna kitu lazima nita Add tuu yani mpka ananioa there must be a thing ambayo ameiona achilia mbali kuadd material thing
 
Kwa hiyo wa chini tutafutane wenyewe, wa juu waendelee kivyao. Mbona maisha hayana fairness kiasi hicho.
Ni kweli life is not fair
Na mwenye nacho anaongezewa

angalia well off guys wanaoa wanawake wa aina gani..most ni wenzao tu
 
Umejibu kisiasa mkuu. Kama hajatulia utakuta kashazaa na wenzio, kufua atakuwa na mashine, kupika atakuwa na house helper. Wewe utakwenda ku add values gani kwenye maisha yake?. Remember kuna a lot of human beings, but not valuable ones.
Huyo mwanamke ni apeche alolo hana chochote?.

navojua wanawake wanajishughulisha sana sikuhizi.,so atakua na kipato na yeye kuchangia where the man is

sasa ukiwa rich ndo usioe?..ama well off guys wanaooa unahisi ni kwanini wanafanya hivyo ilhali wana kila kitu?.kuna muda inafika unahitaji tu mwenzio hata wa kuongea nae usiku ama kushare mawazo,maisha,kupeana company kwenye shughuli nk

cc RRONDO the rich field marshall labda tupe uzoefu😃
 
Wanawake wengi wa kuanzia nao chini wanakua na sura Na shape za baba zao. Hawa ndio wanakua na akili za kutafuta maana wanajijua hawana uzuri wa kuhongwa so njia pekee ya kutoka kimaisha ni kutumia akili na kupambana.
 
Usikariri sisi hua akili zetu tunazijua wenyewe

Amini. Kwamba Nina kila kitu na uchumi mzuri naweza kukutongoza kwa ajili ya kukutumia pia sio kwamba you are the one I want ..of course ni kweli nakuhitaji ktk matumizi [emoji23]


Halafu sikufichi huu ni ukweli Mara nyingi hawa member wa jinsia yangu tukikamilika ktk kila kitu namaanisha tumejijenga vizuri kiuchumi tuko vzr halafu tumeanza wenyewe from the scratch... huwa mwanamke hatubabsishi so lazima ego,..disrespect iwepo kama Dada Carlen alivyosema hapo juu maana tunakuwa na ile mentality

Kila anaetupenda ni mwindaji hana lolote



Na huo ndo ukwel mchungu .bora kutafuta MTU wa level yako
Unakuwa umesogezwa karibu na malaika mtoa roho [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Wanawake wengi wa kuanzia nao chini wanakua na sura Na shape za baba zao. Hawa ndio wanakua na akili za kutafuta maana wanajijua hawana uzuri wa kuhongwa so njia pekee ya kutoka kimaisha ni kutumia akili na kupambana.
Mkuu umesem ukweli mtupu lkn unauma
 
Kikubwa kupendana tu haijalishi ana mali au hana mali. Unasema naenda kucontribute nini? Yeye hadi anakuja kunitaka atakuwa anahitaji nini? Mpaka akataka mahusiano basi kuna kitu ameona kinapungua katika maisha yake, hicho ndio nitakachocontribute
Oooh asante karembo kwa mchango murua
 
Exactly . Realistically kama kweli mwanamme anazo hela na mali za kueleweka, kwanini aende kutafuta broke b*tch? Aidha atatafuta anaelingana nae au ambae at least ana juhudi fulani katika maisha.

Exception pekee ambayo naweza kufikiria ni ma Trophy Wife. Wanataka arm candy, kitu cha kuringishia wengine. Au labda mwanamme ana pesa lakini sura na shepu no mbovu mbovu so atahakikisha mwanamke ampatae ni 100% model type ili angalau watoto wawe na chance kuwa na sura zinazoeleweka.

Beauty is currency.

Mfano Trump na Melania. Trump was rich, Melania ni masikini from eastern europe hata kiingereza kinampiga chenga. Trump mbegu yako ni mbaya hata as a self proclaimed billionaire ona mitoto yake. Thank goodness for plastic surgery hao mabinti wamepona kidogo. Watoto wote wamezaliwa na ma model type.....


View attachment 1605255

View attachment 1605261

View attachment 1605262
Hivi mwanaume anapotafuta mwanamke...Kipato cha mwanamke ndo kinatakiwa kuangaliwa...

Dada wewe kuwa nahela haimaanishi Kwamba that is something extra unacho bring apart from vagina..

Kwa mwanaume mwenye hela zake na mafanikio..hizo hela zako wewe Wala Hana habari zako...

Mnavyolazimisha mwanamke abring something else apart from papuchi.
A women makes a house a home, anakuwa tulizo kwa mwanaume analea watoto na kusimamia nyumba..

Wewe mwanamke kuhangaika usiku na machana kutafuta hela wanaume wengi hawapendi..ila hawana namna kwasababu ya Hali ya maisha...

Msilasimishe hoja Kwamba lazima mwanamke nae alete pesa nyumbani eti ndo uanamke wake utimie..NOP

HIYO SIO.KAZI YA MWANAMKE KIASILI.
 
Umejibu kisiasa mkuu. Kama hajatulia utakuta kashazaa na wenzio, kufua atakuwa na mashine, kupika atakuwa na house helper. Wewe utakwenda ku add values gani kwenye maisha yake?. Remember kuna a lot of human beings, but not valuable ones.
Kwaiyo mwanamke kuadd value kwa mwanaume anatakiwa Aweke nayeye mamilion mezani?..hapo ndo ataonekana wathamani?.

Kama Ana washing machine, Ana househelp..na anawatoto 10 KILA mtu na Mama yake...Anaoa Ili iwaje..
.hivi mwanaume mwenye pesa yake ya maaana...ataanza hangaika napesa ya mkewe?

Sisi uchumi wakati na wachini ndo tunachanga mke Wangu ongeaa kwenye laki mbili hapa tukalipe adda ya watoto.
 
Back
Top Bottom