Ladies, let’s do the real talk...

Mada inanihusu kiaina, nitajitahidi kuadd value kwake ili aone uthamani wangu kwenye maisha yake, ni jukumu zito, mfano; mtu umemkuta ana ghorofa 1 na range 2 maana yake uumize kichwa hiyo idadi ipande ama thamani ya mali zake zipande, kwa kuanzisha biashara nk
 

Mwanamke anataka akute una kila kitu aanze kukupangia sheria zake, usinywe pombe, sijui usishirikiane na washikaji zako flani ambao pengine ndio wamekupa ramani za mchomoko...Akugombanishe na ndugu zako usiwasaidie akina flani..😂😂😂 Mbaya zaidi hata michepuko hataki uwe nayo kazi kweli kweli!

Mie namuheshimu sana mwanamke ambaye nimeanza kula nae dagaa mpaka kufika hapa tulipofikia. Ambaye atakuja nikiwa na VX ajue tu nitamtumia kama toilet paper tu 😂
 
Sidhani kama ni sahihi sana ila huwa naona broke ladies ndio wengi i will call them sluts, zaidi japo ladies wenye pesa pia hu date broke guys zaidi ya rich guys wanavyo date broke ladies!
 
Sidhani kama ni sahihi sana ila huwa naona broke ladies ndio wengi i will call them sluts, zaidi japo ladies wenye pesa pia hu date broke guys zaidi ya rich guys wanavyo date broke ladies!
Being broke doesnt make you a slut...

the *btches word was a metaphor
 
If you fux to draw some money from a well off dude to feed your ego and slaying needs then i guess being a bitch aint enough for explanation.

And this covers all ladies trying to slay it up while in real sense they dead broke!
Agreed with you , nowadays sluts are everywhere hunting for money and not love, better to beware .
 
Tunaanzia hapo na kuendelea, hata hivyo nadhani hujasoma vizuri sijui una haraka ya wapi
nimesoma kaka ila naona ukishasema nyumba na gari huku tz naona ndo tumemaliza kwenye list ya mali. Ndo mana nikasema definition ya mali bado hatujaiweka vzr sawa sawa
 
nimesoma kaka ila naona ukishasema nyumba na gari huku tz naona ndo tumemaliza kwenye list ya mali. Ndo mana nikasema definition ya mali bado hatujaiweka vzr sawa sawa
Hajataja nyumba ns gari pekee ndio maana nimeuliza unakimbilia wapi? Hata hivyo ametaja kama mfano tu, nyumba sio lazima iwe moja hata gari sio lazima liwe moja
 
Hajataja nyumba ns gari pekee ndio maana nimeuliza unakimbilia wapi? Hata hivyo ametaja kama mfano tu, nyumba sio lazima iwe moja hata gari sio lazima liwe moja
For the sake of this topic wacha nikatizie ubishani hapa tu inatosha kwa leo.
 
nimesoma kaka ila naona ukishasema nyumba na gari huku tz naona ndo tumemaliza kwenye list ya mali. Ndo mana nikasema definition ya mali bado hatujaiweka vzr sawa sawa
Hizo ndio zenye thamani ya kutajwa, asa ulitaka mtu alalmikie vijiko na sahani au vistuli?😂😂😂
 
Huyo mpuuz ungemtia tofali tu...Mapema sana!
 
Kuna wanaume wanahitaji zaidi ya walivyonavyo..ambavyo si material things.
Mfano halisi basi! Japo tuelewe hicbo kisichp material thing ni kipi excluding ulichoficha mapajani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…