Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,774
- 13,566
Nimekuja kugundua mabinti wengi ambao wanakutana na ugumu wa kuolewa, inafika hatua wanatamani tu walau kupata mtoto.
Mabinti kumbe uwa mnatamani sana kulea, kuna ka feelings flani huwa mnakatamani ka kunyonyesha mtoto na kulea.
Sasa na mimi nimewaza kutafuta binti wa kumtunuku mimba,
Wanasemaga kuna wanawake akiamua abebe anabeba hata kama mwanamume wake hajalidhia bado.
vigezo vyangu ukiwa navyo nakupa mimba.
na tutalea tu japo economic status ya hii nchi si nzuri kwa vijana ila inawezekana,
uzuri mzee baba hapa mm ni mlinzi mzuri wa kimwili na kiroho pia.
#Family
Mabinti kumbe uwa mnatamani sana kulea, kuna ka feelings flani huwa mnakatamani ka kunyonyesha mtoto na kulea.
Sasa na mimi nimewaza kutafuta binti wa kumtunuku mimba,
Wanasemaga kuna wanawake akiamua abebe anabeba hata kama mwanamume wake hajalidhia bado.
vigezo vyangu ukiwa navyo nakupa mimba.
na tutalea tu japo economic status ya hii nchi si nzuri kwa vijana ila inawezekana,
uzuri mzee baba hapa mm ni mlinzi mzuri wa kimwili na kiroho pia.
#Family