Ladies ukipata boyfriend mshabiki wa Arsenal, usimwache

Usher-smith MD

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2015
Posts
9,558
Reaction score
12,335
Kwanza hongera kwa wana Arsenal wenzangu kwa kubeba ndoo ya FA leo. Go Gunners

Back to topic, kwa madada wote mnaotafuta wenza bora wa maisha, kama hufanikiwi katika nyanja hiyo nawashauri jaribu kuanzisha mahusino na mkaka shabiki wa Arsenal.

Faida zake

1. Uvumilivu
Sisi ni wavumilivu sana, hata timu ifungwe goli 8, hatusaliti chama.
Na pia uvumilivu huu unaakisi kwenye mahusiano, tunavumilia changamoto zote za kwenye mahusiano, mara nyingi tukipenda hatuachi, hadi tuachwe sisi.

2. Uaminifu
Tunaamini tulichonacho ndicho tulichopewa na Mungu, hatutafuti kingine.
Tunapenda wapenzi wetu saaana ila sio kama Arsenal, always Arsenal first.
Tukiwa na mchepuko ni ngumu sana ku-maintain mafiga matatu, utajua tu.

3. Sio walevi
 
Kuna ka ukweli kabisa, kwa miaka mingi leo nimemuona hubby kafurahi!!!
Halafu mbaya zaidi ni shabiki wa Yanga...natamanigi kumwambia aache kushabikia hayo matimu maana namuona anateseka, lakin najua hawezi kunisikiliza...naishia kumsapoti tuu!!
 
Aseno mna gundu so obviously Aseno boyfriend hatacheza mbali na gundu la team yake

Leo naona mnatufokea kinyama sisi Chelsii na Depal wazee wa Landani iz bluu
Eti tuna gundu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
RRONDO

Naona timu zenye jezi nyekundu wote ni wamoja

Ama nachanganya madawa ...??
 
Kuna ka ukweli kabisa, kwa miaka mingi leo nimemuona hubby kafurahi!!!
Halafu mbaya zaidi ni shabiki wa Yanga...natamanigi kumwambia aache kushabikia hayo matimu maana namuona anateseka, lakin najua hawezi kunisikiliza...naishia kumsapoti tuu!!
Kesho inabidi mmpike pilau kusherekea kombe
 
Kuna ka ukweli kabisa, kwa miaka mingi leo nimemuona hubby kafurahi!!!
Halafu mbaya zaidi ni shabiki wa Yanga...natamanigi kumwambia aache kushabikia hayo matimu maana namuona anateseka, lakin najua hawezi kunisikiliza...naishia kumsapoti tuu!!
Huyo tuko pamoja Mimi Ni shabiki wa yanga na Arsenal hakika hata kwenye mahusiano Nina uvumilivu wa kiwango Cha SGR na Leo wife kanipa hongera baada ya kukabidhiwa ngoja nipumzike ntapongezwa Tena alfajiri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…