Ladies ukipata boyfriend mshabiki wa Arsenal, usimwache

Ladies ukipata boyfriend mshabiki wa Arsenal, usimwache

Wajinga ndo huamini kuna gundu, ila ukimwamini Mungu utaona hizo ni fununu tu.

Usichokiona usiamini,labda Mungu unachosikia ndo kabisa yanaweza kuwa majungu

Hakuna tatizo kuwa mjinga,sisi wote ni wajinga at some point....mimi ni mjinga,wewe ni mjinga
 
Kwanza hongera kwa wana Arsenal wenzangu kwa kubeba ndoo ya FA leo. Go Gunners

Back to topic, kwa madada wote mnaotafuta wenza bora wa maisha, kama hufanikiwi katika nyanja hiyo nawashauri jaribu kuanzisha mahusino na mkaka shabiki wa Arsenal.

Faida zake

1. Uvumilivu
Sisi ni wavumilivu sana, hata timu ifungwe goli 8, hatusaliti chama.
Na pia uvumilivu huu unaakisi kwenye mahusiano, tunavumilia changamoto zote za kwenye mahusiano, mara nyingi tukipenda hatuachi, hadi tuachwe sisi.

2. Uaminifu
Tunaamini tulichonacho ndicho tulichopewa na Mungu, hatutafuti kingine.
Tunapenda wapenzi wetu saaana ila sio kama Arsenal, always Arsenal first.
Tukiwa na mchepuko ni ngumu sana ku-maintain mafiga matatu, utajua tu.

3. Sio walevi
Sijaona uzi mzuri kama huu kweli mashabika wa gunners tunafanana hapa ndio nathibitisha ule usemi usemao"ndege wanao fanana mabawa huluka pamaja "
 
Aseno mna gundu so obviously Aseno boyfriend hatacheza mbali na gundu la team yake

Leo naona mnatufokea kinyama sisi Chelsii na Depal wazee wa Landani iz bluu
Hahahaha! kuna jamaa alipokuwa shabiki wa arsenal shida zilikua haziishi, baada ya kuachana na hiyo timu sikuhizi anatembelea gari.
 
Hahahaha! kuna jamaa alipokuwa shabiki wa arsenal shida zilikua haziishi, baada ya kuachana na hiyo timu sikuhizi anatembelea gari.
Acha utani..

Kwahiyo unamshaurije Malkia wa Uingereza, Mwanamfalme wa Uingereza, Rais wa Gambia, Rais wa Rwanda, Aliko Dangote na wengine.
 
Always Forward COYG[emoji871]
IMG_20200802_073513.jpg
 
Back
Top Bottom