Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu kwa life la sasa hivi ukiwa huna pesa utaishia kula wanawake wabovu.. Warembo wote watakua mashemeji zakoHahaha hiyo ukiiweka mbele, utakosa mtoto [emoji23]
Wajinga ndo huamini kuna gundu, ila ukimwamini Mungu utaona hizo ni fununu tu.
Eti tuna gundu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli wastahili pongezii!!!! Maana mnaiman kubwaaa, plus uvumilivu na hamjawah kukata tamaa!!!Huyo tuko pamoja Mimi Ni shabiki wa yanga na Arsenal hakika hata kwenye mahusiano Nina uvumilivu wa kiwango Cha SGR na Leo wife kanipa hongera baada ya kukabidhiwa ngoja nipumzike ntapongezwa Tena alfajiri
Akaaaaah babuuh weeeh pesa kwan lolNi sifa moja wapo miongoni mwa siri za kuwa na mafanikio!
Usichokiona usiamini,labda Mungu unachosikia ndo kabisa yanaweza kuwa majungu
Sijaona uzi mzuri kama huu kweli mashabika wa gunners tunafanana hapa ndio nathibitisha ule usemi usemao"ndege wanao fanana mabawa huluka pamaja "Kwanza hongera kwa wana Arsenal wenzangu kwa kubeba ndoo ya FA leo. Go Gunners
Back to topic, kwa madada wote mnaotafuta wenza bora wa maisha, kama hufanikiwi katika nyanja hiyo nawashauri jaribu kuanzisha mahusino na mkaka shabiki wa Arsenal.
Faida zake
1. Uvumilivu
Sisi ni wavumilivu sana, hata timu ifungwe goli 8, hatusaliti chama.
Na pia uvumilivu huu unaakisi kwenye mahusiano, tunavumilia changamoto zote za kwenye mahusiano, mara nyingi tukipenda hatuachi, hadi tuachwe sisi.
2. Uaminifu
Tunaamini tulichonacho ndicho tulichopewa na Mungu, hatutafuti kingine.
Tunapenda wapenzi wetu saaana ila sio kama Arsenal, always Arsenal first.
Tukiwa na mchepuko ni ngumu sana ku-maintain mafiga matatu, utajua tu.
3. Sio walevi
Kwa Aseno nimeshuhudia gundu mnaloLakini wewe unaamini kuna gundu, hakunaga gundu hizo ni fununu tu.
Wewe sio arsenal sisi arsenal hatuna gundu hata kidogoKwa Aseno nimeshuhudia gundu mnalo
Hahahaha! kuna jamaa alipokuwa shabiki wa arsenal shida zilikua haziishi, baada ya kuachana na hiyo timu sikuhizi anatembelea gari.Aseno mna gundu so obviously Aseno boyfriend hatacheza mbali na gundu la team yake
Leo naona mnatufokea kinyama sisi Chelsii na Depal wazee wa Landani iz bluu
Sisi hatuna gundu, ila sisi ni simba mwenda pole uvumilivu uaminifu ndio jadi yetu. Cheers [emoji482]Aseno mna gundu so obviously Aseno boyfriend hatacheza mbali na gundu la team yake
Leo naona mnatufokea kinyama sisi Chelsii na Depal wazee wa Landani iz bluu
Hahahaha! kuna jamaa alipokuwa shabiki wa arsenal shida zilikua haziishi, baada ya kuachana na hiyo timu sikuhizi anatembelea gari.
Wewe sio arsenal sisi arsenal hatuna gundu hata kidogo
[emoji23][emoji23][emoji23] uyo ni mtu mwenye wivu tuUshuhuda namba mbili [emoji23][emoji23][emoji23]
Acha utani..Hahahaha! kuna jamaa alipokuwa shabiki wa arsenal shida zilikua haziishi, baada ya kuachana na hiyo timu sikuhizi anatembelea gari.
Hapana sisi sio wabahili ila tunatengeneza zana zetu wenyewe alafu pia tunaomba mtupende tu kama tulivyo maana ndivyo tulivyo na Arsenal tumeipenda kama ilivyo.