Ladies understand your men (Wadada tu, wanaume marufuku)


tena maongezi yenyewe utakuta mambo ya tunda tu. Hakuna hata mkakati wa maendeleo mtakaozungumzia.
 

Bishanga bana mmeambiwa wanaume haiwahusu mbona hivyo
 
Mambo mabaya kabisa! Halafu we jana nilikwambia nikupe namba yangu ili ukianzisha sredi unistue lakini ukanichunia.......poa tu!!!

mpendwa nilifikiri namba yako ni ile ile kumbe umebadili maana nilikupigia sijakupata! Ndio nini kubadili badili namba? Nitumie hiyo mpya. Halafu post yako ya mwanzo kama umesikitika vile. Hebu funguka kidogo.
 
Bishanga bana mmeambiwa wanaume haiwahusu mbona hivyo
Eliza wa Tegeta a.k.a Superwoman ndo kantuma nimrushie post hiyo yeye yuko bize ana cash cheque yake ya !million US dollars hapa benki New york.
 
mpendwa nilifikiri namba yako ni ile ile kumbe umebadili maana nilikupigia sijakupata! Ndio nini kubadili badili namba? Nitumie hiyo mpya. Halafu post yako ya mwanzo kama umesikitika vile. Hebu funguka kidogo.
nasubiri unitumie hiyo namba,lol nilivyo na ham nayo,wahi kabla TF hajalog in!
 

hahahahahahaha! Bishanga umeniacha hoi. Swali moja ambalo nimeliona linahitaji majibu ni hilo la ukimpenda mtu lazima umuoe. Jibu ni hapana na ndio maana mwanzo wa thread nilisema kwa wadada ambao wana wapenzi na ambao wanataraji kuwa waume zao wa ndoa. Acha vituko halafu, au ndio unazeeka vibaya?
 

Lol.....nimekunyaka Eiyer!
 
Mapenzi hayana formular hata kidogo, na ndoa ni maajaliwa, waweza pigiwa simu hata mara 30 kwa siku, waweza tambulishwa hadi kwa bosi wake, waweza hudumiwa sijui kama nini vile lakini mwisho wa siku kutendwa kunatokea.....so mama huu msaafu uliouweka hapa sidhani kama ni universal principles
 

mama tuli ni kweli unaweza shirikishwa lakini mwenzio moyo upo kwa mwingine. Nakubaliana na afrodenzi alivyosema ni ngumu kumuelewa mtu. Katika mahusiano kuna mambo ambayo tusipofanyiwa tunajihisi hatupo katika mahusiano sahihi au wapenzi si sahihi kwetu na inawezekana hisia hizo ni za kweli. Unaweza kujifeel kawaida utakaposhirikishwa ila ukajifeel vibaya. Imagine una mpenzi, muda unampigia muonane anakwambia yupo mkoani kikazi! Unajisikiaje kwa kutopewa japo taarifa tangu awali. Ni mambo madogo madogo lakini yanaweza chujisha mahusiano.
 

Ni kweli kabisa HUS... Yamenikuta hayoo. Kuja kujua mshkaji hakuwa kweli serious kuwa na future na mimi nilikuwa too late. Ilinipain sana, sbbu nilikuwa nimejitoa kiukweli na alikuwa na ananipa matumaini chanya. Leo nimesoma hii thread no nimetafakarii na nimegundua kuna ukweli kabisa, na yaliyonitokea ni kweli yanaendana na idea yako.
Kwa wanaume msio wakwwli kwa wapenzi wenu, please at the beggining of mahusiano yenu, ni vema ukawa muwazi kabisaaa on what kind of relation unahtaji kwa hyo mpenzi wako. i.e wakuzugia, short time, long term friendship without marriage, mchumba na baadae awe mke e.tc. Mnatuuumizaga sana psychologically.
 
uzee dawa wewe,haya nambie we na bf mnatarajia kuoana au ndo yale yale?
 
which begs a question Koku,huwezi kuwa rafiki na mtu mpaka mvalishane pete?
 
na nyie tunaweza kuwafanyia kila kitu na bado mkatufanzia,uongo?
 

pole sana mpendwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…