Ladies, what do you wear in bed?

Ladies, what do you wear in bed?

Sio ndoani tu Douta..Hata kipindi cha muhusiano unatakiwa kupalilia penzi teh...Nishazoea kukaa alone now..We nenda tu..yakikushinda utarudi
Sasa kipindi cha mahusiano si ndo hiki unaniletea u-baba kumbena. Ntapalilia saa ngapi hiyo bustani teh?
Hapo tu kiroho kimeshakudunda, chezea kunimiss your only daughter. Hujui tu ufanyaje teh
 
Back
Top Bottom