Ladies, what do you wear in bed?

Ladies, what do you wear in bed?

Hahaha wanadumbukiza tu mwenzangu. Huo ufilipino unakuwepo zaidi huku kwenye urafiki sugu, ikifika kwenye ndoa baada ya miaka mmh, anapita tu shaaaa

(haha kui you bring out the worst in me lol)
Weeeeeeee!! tuombe samahani kabisa, manake si kwa kutudhalilisha huku
 
hahahaaaa!! au ile mtu umemchoka ila kumwambis unashindwa pa kuanzia, mie naanza tu visa ni kuomba hela tuuu asubuhi mchana jioni, akipiga simu ni hela, akituma msg ni hela, mwisho anachoka mwenyewe anajisepea.


Heheh!, hii ni atoto way of moving-on!
 
Hahahaaa, she's a superwoman aisee, katungua mpaka tv ukutani, no wonder ukamwita Li, teh!, teh!
Halafu anaonekana yuko faithful hakusahau anything of yours, masufuria, mifuniko na bia ulizoacha, damn!,..she's totally me.

Eti kama to the left ya Beyonce, JF mweh!...lol!

Hapajauma sana though
 
Hahaha to the left, to the left
Everything you own in the box to left

You must not know about me, you must not know about me
I could have another you in a minute, matter of fact he'll be here in a minute

So ulikuwa unaishi kwake au? Pole mwaegi

Aibu. Basi njiani nikakuta mtu na dem wake wamekumbatiana wanatembea kwenye mvua wameloa chapa chapa nikasema nisimame niwasogeze kidogo ili niwasimulie yaliyonikuta wakakataa lifti. Wangekuwa watoto ningewashikia fimbo wapande kwa lazima ili niwasimulie machungu yapungue
 
Hahaha to the left, to the left
Everything you own in the box to left

You must not know about me, you must not know about me
I could have another you in a minute, matter of fact he'll be here in a minute

So ulikuwa unaishi kwake au? Pole mwaegi

Aibu. Basi njiani nikakuta mtu na dem wake wamekumbatiana wanatembea kwenye mvua wameloa chapa chapa nikasema nisimame niwasogeze kidogo ili niwasimulie yaliyonikuta wakakataa lifti. Wangekuwa watoto ningewashikia fimbo wapande kwa lazima ili niwasimulie machungu yapungue
 
Hahaha to the left, to the left
Everything you own in the box to left

You must not know about me, you must not know about me
I could have another you in a minute, matter of fact he'll be here in a minute

So ulikuwa unaishi kwake au? Pole mwaegi

Aibu. Basi njiani nikakuta mtu na dem wake wamekumbatiana wanatembea kwenye mvua wameloa chapa chapa nikasema nisimame niwasogeze kidogo ili niwasimulie yaliyonikuta wakakataa lifti. Wangekuwa watoto ningewashikia fimbo wapande kwa lazima ili niwasimulie machungu yapungue
 
hahahaaaa!! au ile mtu umemchoka ila kumwambis unashindwa pa kuanzia, mie naanza tu visa ni kuomba hela tuuu asubuhi mchana jioni, akipiga simu ni hela, akituma msg ni hela, mwisho anachoka mwenyewe anajisepea.
Khaaaaaaaa we sista weweeee
 
hahahaaaaaaaaa!!! you made my evening, kweli alijua kukuweza!!
unatamani umsimulie mtu ila ndio vile tena.

Aibu. Basi njiani nikakuta mtu na dem wake wamekumbatiana wanatembea kwenye mvua wameloa chapa chapa nikasema nisimame niwasogeze kidogo ili niwasimulie yaliyonikuta wakakataa lifti. Wangekuwa watoto ningewashikia fimbo wapande kwa lazima ili niwasimulie machungu yapungue
 
Khaaaaaaaa we sista weweeee

sasa nitafanyaje my kaka na ndio kuanza kummwaga mtu wakati hamjagombana ngumu, naomba hela tu, akigekua hela! mwisho anaona hii namba sio.
 
Back
Top Bottom