wenyewe wanasema maandiko matakatifu yalisema kwa 'adam atakula kwa jasho na eva atazaa kwa uchungu' mwanaume utahudumia familia yako tu, upende usipende na mwanamke akikugomea kukusaidia kama ana kazi huna la kufanya. Duu, kweli wanaume tumeumbwa matesooo!
Mkwe taratibu......We unaamini anayezungumziwa ni kaka yake? Chezeya Eiyer wewe? Hebu fuatilia thread zake vizuri mkwe..... afu kumbe una sauti tamu kama ya kasuku eh?
Hahahahah cacico bana.............. habarrrrr ako bannnaaaaa!! Wapi switch ya garrryyyy yangu....!! Khanga moko, lakhi si pesa bana!!
- hapo nimejumlisha mpaka lileeeeeee alilonihonga Young_Master juzi, na ile x6 uliyonipa wewe baada ya 3some! zote anahudumia ebo! hebu acha maneno kuntu na umpongeze mwanaume mwenzio kha!
hii hali inatokea sana na kimsingi sio kwenye ndoa tu ni tabia naweza kusema iko damuni kwa wanawake wengi mno...
huyo jamaa aliyeanzisha mfumo wa kusubmit salary yote home itumike mpaka iishe namuunga mkono kwani ni kero sana hasa ukizingatia makeke ya kazi umefanya wewe...na bado matatizo ya kikazi yakitokea huko weye ndio unaemkingia kifua wife...
huku vyuoni ndio vituko kabisa..mkopo mnapokea woote sawa ila mwenzio yeye ni kubip tu full time..mkienda kula ulipie bill mbili, mkitoka kidogo nauli na matumizi yoote ulipie weye mwenyewe ni tatizo linaloanzia katika mentality
kwani mpaka Asprin ajue kuwa huwa nataka mitama kwanza ndio kieleweke hubby??? kha! ukiniambia utanipiga ndio nazidi kukupenda! naja sugar wangu! lolest!Ahaaa!!! Kumbe ile X6 ulihongwa eeee??? Embu njoo huku pembeni nikupe kibano chako...utanieleza leo kwa nini kuku hakojoi.
Sasa nyie wanaume mnatoa povu kwa mshahara au hela ya mke wako!!!wewe ni jukumu lako kutunza familia kama kuna cha ziada sema usikike tunachangia.Hiyo ndoa ilishakufa siku nyingi hawakujua tu
hata yangu ilikuwa hivyo lakini HAKUNIACHA! Eiyer ni UPENDO NA SACRIFICE! Alinikalisha tu chini na kuniasa kuwa haya si maisha, nisaidie kidogo majukumu, nikaafiki n here we are! so mwambie mke haachwi sababu tu kakuegemea, anapashwa kumuelekeza tena akiwa sober! ebo!cacico,ndoa yako angalau naweya ikubali,lakini je unajua kwamba kuna ndoa ambazo mwanamke ana kipato pengine sawa na mumewe lakini majukumu yote ni mume,akiulizwa anakua mkali kama pilipili!
Hebu angalia akili ya huyu mwanamke!!!!
nikweli hiyo hua inatokea ila sio kwawanawake wote. wapo nawawake wao ndo baba ndomama katika familia zao nawaume zao wapo tuu hawanampango nafamilia zao. wao wakipata pesa zao wanalewea pombe nawengine wanahonga wavimada. hili swala lipo kwawote.
kwani mpaka Asprin ajue kuwa huwa nataka mitama kwanza ndio kieleweke hubby??? kha! ukiniambia utanipiga ndio nazidi kukupenda! naja sugar wangu! lolest!
jamani wanaume acheni kukwepa majukumu kuhudumia mke na watoto ni wajibu wenu mimi siulizwi mshahara wangu na vocha nanunuliwa na saloon napewa hela na gari nawekewa mafuta. but pesa yangu natumia pale ninapojisikia wakati mwingine simuombi ila mwenyewe anajua majukumu yote ni yake. sasa ukiutolea macho mshahara wa wife utakuwa mvivu wa kutafuta, mwanaume hasifiwi sura bali utafutaji!
hata yangu ilikuwa hivyo lakini HAKUNIACHA! Eiyer ni UPENDO NA SACRIFICE! Alinikalisha tu chini na kuniasa kuwa haya si maisha, nisaidie kidogo majukumu, nikaafiki n here we are! so mwambie mke haachwi sababu tu kakuegemea, anapashwa kumuelekeza tena akiwa sober! ebo!
cacico nimelike kabla sijasoma hii thead thats fine with me,mariages, mariages, mariages! ukiamua kuifanya iwe hell itakuwa kweli, na ukiamua kuifanya heaven itakuwa! the two of u are the once playing that game! but this game called mariage will never give us a winner in terms of dictatorship, there IS ONLY ONE WINNER BECAUSE OF RESPECT AND THATS A HUSBAND!(hapo tupende, tusipende ndivyo MUNGU alivyoumba, daima mwanamke atakuwa chini ya mumewe.) Samahanini kama nitawakwaza fellow women coz kila ndoa na misingi,makubaliano na VISIONS zake! kamwe yangu haitakuwa yako, wala yako haitakuwa yangu! naishi kama mimi na simfuatilishi mtu NEVER!
coming to the point ya kipato cha mwanamke! we are doing alot under carpet ambazo wanaume hawafahamu, eg costs ndogondogo kama sabuni, toothbrush, vyombo,vyakula, vitu vya jikoni kwa ujumla SIJUI KAMA MY HUBBY ANAJUA VINATOKA WAPI, HUWA ANAONA SIKU ZINAKWENDA, am doing everything kuhusu nyumbani, nguo zangu na watoto na zake ni mimi. na yeye ana majukumu makubwa kunizidi eg skulfees, kujenga, service magari na fuel, etc wababa mnaelewa!
THEN WE HAVE A JOINT ACCOUNT! hiyo account iko kwa ajili ya ndugu zake na ndugu zangu! eg msiba umetokea kwetu tunachota laki 5 za mchango nk, msiba umetokea kwao we do the same, mama mkwe nakuja tunachota hapo, mama mkwe naumwa tunachota hapo and vice versa! hii account we share kudeposit kila mwezi and we dont touch it kabisa! so hakuna anayeona anaonewa kwa misingi tuliyokubaliana!