The Gentleman Pirate
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 1,450
- 921
Blaza tuache na upepo wetu wa kisulisuliDepal Kasie financial services ledada Chakorii yna2 Saint Anne Miss Natafuta Miss Zomboko na wengine wengi haya mseme sasa mume mmekosa wakati vigezo vyenyewe kaweka vidogo tu kazi kwenu kazi kwenda kwenye visulisuli wakati hata huku vipo..π
Bro jichagulie hapo ukitaka nikupointie sema..! π
Mkuu, nazijua na nina uzoefu na hizi dini mbili...lakini kikubwa zaidi,heshimu maoni yangu kwa sababu ni yanguAskari Gani Huyu?
Ambaye Hata Hajielewi Upande Wa Dini?
Shukrani mkuu kwa msaada wako...patience favours the bold.Depal Kasie financial services ledada Chakorii yna2 Saint Anne Miss Natafuta Miss Zomboko na wengine wengi haya mseme sasa mume mmekosa wakati vigezo vyenyewe kaweka vidogo tu kazi kwenu kazi kwenda kwenye visulisuli wakati hata huku vipo..[emoji23]
Bro jichagulie hapo ukitaka nikupointie sema..! [emoji12]
Hahahaha...mkuu, hakuna faida ya kujidanganya mwenyewe juu ya umri.Blaza tuache na upepo wetu wa kisulisuli
Sa itakuwaje..mbona hiyo 28 kidogo blaza mwambie aongeze miaka saba halafu arudi tena.
Naanzia 35-70
Kuna mwanamama hapa jirani yangu anauza genge, ana miaka 68 na anataka mchumba.....vipi nikuunganishe naye? Yeye yuko serious kwani anaelekea ukingoni anataka mtu wa kumtomasa tomasa.Any interested lady Pm..
Gentleman Pirate
Umri: 28
Dini: muislamu,mkristo
Sifa: mcheshi
Kazi: askari
Elimu: mhandisi
Mkoa: Arusha,Manyara
Mwanamke
Anayejielewa na kujua anachofanya
Umri wowote
Dini yeyote
Miaka hata Kobe anayo we acha mbachao kwa msala upitao.. utanikumbuka baadae dada ngoja uzee uanze kukukunja utaanza kuwaulizia hadi marafiki zangu utasikia tu "hivi Yule rafiki yako aliekuwa akivaa vinyeramumo Yuko wapi.."π€£π€£ jibu ntakalokupa bwana wa mabwana ndo ajuae..πBlaza tuache na upepo wetu wa kisulisuli
Sa itakuwaje..mbona hiyo 28 kidogo blaza mwambie aongeze miaka saba halafu arudi tena.
Naanzia 35-70
Kwani nimejidanganya wapi??Hahahaha...mkuu, hakuna faida ya kujidanganya mwenyewe juu ya umri.
Juu ya umri na uhalisiaKwani nimejidanganya wapi??
Nichukulie namba.Depal Kasie financial services ledada Chakorii yna2 Saint Anne Miss Natafuta Miss Zomboko na wengine wengi haya mseme sasa mume mmekosa wakati vigezo vyenyewe kaweka vidogo tu kazi kwenu kazi kwenda kwenye visulisuli wakati hata huku vipo..π
Bro jichagulie hapo ukitaka nikupointie sema..! π
Mi nishamaliza kazi yangu chakufanya nyie fataneni tu mpk hapa atakuwa ameshaona no atatoa mwenyewe..πNichukulie namba.
ππππππblaza bhana eti bwana ndo ajuayeMiaka hata Kobe anayo we acha mbachao kwa msala upitao.. utanikumbuka baadae dada ngoja uzee uanze kukukunja utaanza kuwaulizia hadi marafiki zangu utasikia tu "hivi Yule rafiki yaki aliekuwa akivaa vinyeramumo Yuko wapi.."π€£π€£ jibu ntakalokupa bwana wa mabwana ndo ajuae..π
Tukate mzizi wa fitna.ni pm basiππJuu ya umri na uhalisia
okTukate mzizi wa fitna.ni pm basi[emoji38][emoji38]
Msisahau mrejesho kwangu sawa dada..?Tukate mzizi wa fitna.ni pm basiππ
Mkuu usiboronge huko..π
Msisahau mrejesho kwangu sawa dada..?