ankal anapikiwa na cousin golden mpolee. Ukirudi utamkuta shavu dodo, kitambi hiha!
Wewe ndo uliepotea....ndio maana sikukutafuta!
Au boing inapaa halafu wembe unadondoka!
aiseeee! Narudi sasa hivi!!!! Golden Mpoleee?? Kipipi wapi wewe unipe Lift kabla sweetie hajafa kwa sumu ya mchanganyiko wa ingriedients zisizoeleweka!! lol
Ngoja nisepe,kijiwe cha ma-du hiki!
usiondoke, wanaenda kuoga mtoni sasa hivi
tuwanyemelee tuwachungulie
kanisubiri kule
Hahahaha! Sipati picha pensi nyanya na muwa!!!lol kama namuona vile! Nakuja sasahivi kuwajoin hapo! Namalizia kupaka wanja!
Hujapotea libent, hapo uliposimama geuka kulia kwako kuna huyo muhudumu anaitwa Nazjaz, mwagize akuletee kinywaji bili apeleke kwa AshaDii!Kuna nini hapa mbona sielewi au nimepotea njia?
Agiza kinywaji!Hapa kweli pa Ladies ! Hapa patakosa vichenipati kweli au sijui mtu kusutwa !
Sidhani.
Hujapotea libent, hapo uliposimama geuka kulia kwako kuna huyo muhudumu anaitwa Nazjaz, mwagize akuletee kinywaji bili apeleke kwa AshaDii!
Khaaa, hajakuza mtaji mpaka leo bado anatembeza kahawa??? Mwenzie TF ameacha kahawa sasa anatembeza viatu vya mtumba...bado kidogo atafungua duka..kloro nimeshinda nae humu, ameenda kutembeza kahawa atarudi b'dae. Chenchi yako kaniachia ila nataka nikuzulumu.
aiseeee! Narudi sasa hivi!!!! Golden Mpoleee?? Kipipi wapi wewe unipe Lift kabla sweetie hajafa kwa sumu ya mchanganyiko wa ingriedients zisizoeleweka!! lol
Halafu wewe kama nakufahamu vile!
Asante kongosho,ila sista yupo hapo itakuaje?
Ipo usijali. Mi sijambo wewe je?Mimi napendelea togwa sasa sijui nitapata, hujambo lakini