Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Halafu nina wasiwasi Kipipi atakuchongea kwa mama ataanza oh SL katoka na mwanaume halafu kasema atalala hukohuko. Halafu usiwe na wasiwasi akikufukuza niko tayari kushi na wewe au haujamaliza shule
nilitaka liwe fundisho kwa kizazi kijacho
si kila king'aacho kimeng'arishwa.
Sasa wewe unaninanga tena wakati mie naweza kuwatunzieni siri?? Shauri yenu....oohh hoooh!!
Ukiendelea hivi kuna siku utabebwa msobemsobe. Naomba nikuulize hivi uliweka ya bandia au ni original?
Ulipotea jukwaani, alafu nilikutumiaga PM haukujibu, sasa mi ningefanyaje wajameni!! Nikifanikisha nitakutafuta mwaya....
Natafuta mtu wa kutoka nae! Nampa nafasi achague mwenyewe twende wapi.
twende mmu.
Hilo timbwili timbwili lake huko sijui kama kutakuwa salama jamani msisahau ile kitu inayofanana na hilo neno baada ya kutakuwa
kaka rtz hana tabu.
Goigoi au? rtz ya kweli hayo?
umeanza majungu!
Orait,nawasalimu wandugu,mie ndio nishakamilisha wikiend yangu kwa kumalizika kwj game ya mancity na blackban,so nafumba macho now ndan ya net,byee!
Shosti naomba nije nikutembelee basi chipenzi.......!!
We mwana we......wapenda game weye sio?? Haya kalale unono, hadi ukojoe kitandani...kwa raha tu!!! Lol
twende mmu.
umeanza majungu!
yaani watu wazima wanaruhusiwa kukojoa kitandani.
Watoto wanachapwa
sielewagi hapa.
We mwana we......wapenda game weye sio?? Haya kalale unono, hadi ukojoe kitandani...kwa raha tu!!! Lol
EeehHey sweet wifi.... Nilikutafuta tuje leo woote hapa, Ulienda wapi? hata kaka Cookie nasikia alikua hakupati...