Prime Dynamics
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 551
- 249
PD naona kam tunapimiana hewa sasa hapa. Again umloose interest? Kisa simu hupigiwi????
sa km shda imemuishia akpgie cm ya nini? Km na ww una shida nae ndo uanze kmpgia Helow darling?
Pole Prime,kweli hiyo tabia baadhi ya wanawake wanayo ni mbaya sana....hakuna mtu anapenda kujihisi anatumika vibaya,si sahihi na wala haipendezi mtu kumtumia mtu vocha halafu asiwasiliane na wewe hadi wakati akihitaji tena vocha....wengine hadi wanatumia wanaume wengine vocha anayotumiwa na mpenzi wake.ni tabia mbaya sana na hapa hata mwanaume akimfanyia hivyo mwanamke ataumia.
sijaona kama amemsema,kwani kuna mahali kamtaja jina,anasema tabia zilizomkera na wengine tujifunze.....usisite kutuambia Prime,ili tujue nini kinawakera turekebishe mahusiano yadumu!
Pole Prime,kweli hiyo tabia baadhi ya wanawake wanayo ni mbaya sana....hakuna mtu anapenda kujihisi anatumika vibaya,si sahihi na wala haipendezi mtu kumtumia mtu vocha halafu asiwasiliane na wewe hadi wakati akihitaji tena vocha....wengine hadi wanatumia wanaume wengine vocha anayotumiwa na mpenzi wake.ni tabia mbaya sana na hapa hata mwanaume akimfanyia hivyo mwanamke ataumia.
sijaona kama amemsema,kwani kuna mahali kamtaja jina,anasema tabia zilizomkera na wengine tujifunze.....usisite kutuambia Prime,ili tujue nini kinawakera turekebishe mahusiano yadumu!
mis u sisy!!
miss you too dearest....let me PM you!
Pole Prime,kweli hiyo tabia baadhi ya wanawake wanayo ni mbaya sana....hakuna mtu anapenda kujihisi anatumika vibaya,si sahihi na wala haipendezi mtu kumtumia mtu vocha halafu asiwasiliane na wewe hadi wakati akihitaji tena vocha....wengine hadi wanatumia wanaume wengine vocha anayotumiwa na mpenzi wake.ni tabia mbaya sana na hapa hata mwanaume akimfanyia hivyo mwanamke ataumia.
sijaona kama amemsema,kwani kuna mahali kamtaja jina,anasema tabia zilizomkera na wengine tujifunze.....usisite kutuambia Prime,ili tujue nini kinawakera turekebishe mahusiano yadumu!
Ninasumbuliwa au umeamua kunichomesha mahindi hapa kituoni???......lolzSASA MBONA DALILI ZOTE ZA MALARIA kaonyesha ?<br />
ni bora ushamuaga...mijitu ya ivi inaboa yaan inakuwa mijambaz peupe ata haya hawana...inaboa
Pole Prime,kweli hiyo tabia baadhi ya wanawake wanayo ni mbaya sana....hakuna mtu anapenda kujihisi anatumika vibaya,si sahihi na wala haipendezi mtu kumtumia mtu vocha halafu asiwasiliane na wewe hadi wakati akihitaji tena vocha....wengine hadi wanatumia wanaume wengine vocha anayotumiwa na mpenzi wake.ni tabia mbaya sana na hapa hata mwanaume akimfanyia hivyo mwanamke ataumia.
sijaona kama amemsema,kwani kuna mahali kamtaja jina,anasema tabia zilizomkera na wengine tujifunze.....usisite kutuambia Prime,ili tujue nini kinawakera turekebishe mahusiano yadumu!
Ok mummy. nitaedelea kuya bandika humu humu.