Ni kwann ipo hivo hivFerguson hayoboi miaka miwili,kufiwa mke uzeeni
Kwa sababu wewe ndiye Israel Mtoa roho, na Mungu kakupa kalenda ya kumfuata ndani ya miaka hiyo miwili.Ferguson hayoboi miaka miwili,kufiwa mke uzeeni
Ferguson aliwahi kupigwa stroke moja hatari,bahati yake alikuwa ulaya,ingekuwa bongo bai bai,hii inaonyesha hayuko fit kivile atakuwa na presha tu,simuombei mabaya ila hatoboiKwa sababu wewe ndiye Israel Mtoa roho, na Mungu kakupa kalenda ya kumfuata ndani ya miaka hiyo miwili...
Ukatubu hivi aisee. Mwenye destiny yetu ni Mungu tu. Recall uchaguzi wa 2015.Ferguson hayoboi miaka miwili,kufiwa mke uzeeni
Pole kwa legendary wa ukochaFerguson aliwahi kupigwa stroke moja hatari,bahati yake alikuwa ulaya,ingekuwa bongo bai bai,hii inaonyesha hayuko fit kivile atakuwa na presha tu,simuombei mabaya ila hatoboi
So sad!! 🙁Habari za huzuni jioni hii, kutoka katika kitongoji cha Cheshire, Greater Manchester ni kuwa Lady Cathy Ferguson, mke wa Sir Alex Ferguson amefariki dunia.
Wawili hao walioana mwaka 1966 na wamedumu kwenye ndoa mpaka mauti yalipomfika bibie Lady Cathy akiwa na miaka 85.
Ameacha watoto watatu na wajukuu 12.View attachment 2773829
Huwa ni ngumu sana kwa Mwanaume aliyefiwa katika miaka hiyo kuendelea kutoboa, hii hutokea kwa wanaume wazee wenye bonding nzuri na wenza wao. Ila wanawake huwa haiwaathiri, wao hutoboa tu.Ni kwann ipo hivo hiv
Kabisa!!Kwa sababu wewe ndiye Israel Mtoa roho, na Mungu kakupa kalenda ya kumfuata ndani ya miaka hiyo miwili.
Pathetic!.
Katika jambo ambalo hupaswi kumkadiria mtu ni kifo, kwa sababu ajuaye ni Mungu.
Hata sisi Madaktari, tuna njia nyingi za kufahamu kipindi ambacho mgonjwa mwenye ugonjwa Cronic (haswa saratani) anaweza kuvuta. Lakini huwa ni makadirio tu.
Tar zinafika na mgonjwa hafi. Ni kwa sababu muumba wake ndiye anajua.
Ferguson si mgonjwa. Yupo fit. Kila wa leo anahudhuria mechi nyingi za Manchester United, ni ajabu mtu kumtabiria kuwa atakufa ndani ya miaka miwili.
Yasijekuwa kama yale ya Eddo na wapiga pushup. Ukatangulia wewe kabla ya Sir Fergie.
Muombee kheri mzee wa watu.
Rest Easy Bibi.
First lady tenaTunakumbushwa
Kuna wakati wa kutapanya na wakati wa kukusanya
R.I P first lady
Hivi wanawake huwa wanatupa nini. Yaan mme akikata moto ndio kwanza mjane ataanza kunenepa. Ajabu ni pale mke akikata moto mzee hakawii.Ferguson hayoboi miaka miwili,kufiwa mke uzeeni
Siyo kweli. Wengie sana huendelea na maisha kama kawaida iwapo hawakuwa na matatizo mengine ya kiafya. Ronald Reagan alifariki mwaka 2004 akiwa na miaka 93 lakini aliyekuwa mkewe kwa zaidi ya miaka 52, yaani Nancy Reagan aliendelea na maisha kwa miaka mingine 16 hadi alipofikia umri wa miaka 95.Ferguson hayoboi miaka miwili,kufiwa mke uzeeni